NIMEOKOTA laptop

NIMEOKOTA laptop

mtumie PM km kweli alijitambulisha

hapa kuna watu wataingia mtegoni tu bila shaka.
Tukiwa katikati ya mazungumzo (kabla hajajitambulisha kwa ID yake) alipigiwa simu, ambayo ilimfanya aongee hadi alipoteremka, nadhani hii ndio sababu kubwa ya yeye kuacha computer yake
 
Jamani, aliyepoteza mini laptop yake anitafute.
Nilikupa lift jana jioni maeneo ya Posta, kwa bahati mbaya ukaisahau laptop yako kwenye gari yangu.
Kwenye mazungumzo yetu ulijitambulisha kuwa wewe ni JF member, uliteremka mitaa ya Morocco
kama unajihisi wewe ni genuine owner wa hiyo laptop just call me on 0717454455

Atakuwa Bujiku tu aliyeisahau hiyo laptop
 
Bujibuji huwezi okota kitu ndani ya gari lako. Post upya kuwa yule mtu alisahau min laptop ndani ya gari lako baada ya lift. dah lakini inaonekana maneno yalikuwa matamu mpaka huyo abiria akasahau mzigo aliopanda nao!!!.
 
Jamani, aliyepoteza mini laptop yake anitafute.
Nilikupa lift jana jioni maeneo ya Posta, kwa bahati mbaya ukaisahau laptop yako kwenye gari yangu.
Kwenye mazungumzo yetu ulijitambulisha kuwa wewe ni JF member, uliteremka mitaa ya Morocco
kama unajihisi wewe ni genuine owner wa hiyo laptop just call me on 0717454455

be careful man,dar inawakazi zaidi ya m3.siyo wote walikuja kufanya kazi za ndani...u don need to expose ur currently no's..
 
utafir****w wewe,nahiyo aisee babangu...utajikuta unasema aisee mkund**** wangu.kwanza unaniboaga na hiyo sentensi yako...

kaka mbona kama una bifu na mchaga mwezio Mkuu Rombo??kweli mtafungua duka pamoja hapo manzese namna hii??
 
We Bujibuji, hii unatakiwa kulipia gharama za kutangaza namba ya cmu yako. Maana mimi naona hii umeitumia kama njia mdala ya Love Connect !!!

Bujibuji anataka kutuaminisha kuwa ana gari. Hakuna cha kuokota laptop wala cha kutoa lift. Hata bajaji huna, mimi nakujua hata kipato chako nakijua ingekuwa home ningesema "leka ubutungulu"
 
utafir****w wewe,nahiyo aisee babangu...utajikuta unasema aisee mkund**** wangu.kwanza unaniboaga na hiyo sentensi yako...

JF ni mahali pa kufundisha, kufundishwa na kuchangamshana. Matusi, tena bila sababu ya msingi ya nini? Humjui wala hakijui, bali mmeunganishwa na JF. Omba msamaha. Mimi ukinitukana namna hii nakugeuza nyau usiku huohuo.
 
daa,bro huoni hatari kutoa namba yako ya simu wazi kiasi hcho,anyway,hongera kwa uungwana wako ila nachokiogopa kwa stahili hii unaweza kutoa mchango mzuri wa kukosoa kitu fulani unaoharibu maslahi ya watu fulani wakakutrace wakuharibie kama ulimboka,ungetangaza wakupm tu ingawa ungebezwa
 
Ni Me au Fe? Kwanini unapenda kuwapa FE lift tu kuliko ME???? Hahahaa just kidding, hongera Mpwa kwa kuwa Mwaminifu
 
mademu wa humu wana gono kali, linapenya kwenye condom na wala haliponi hata kwa penaduu
teh teh! madada zetu wanateseka na gono na hawaamini ukiwaambia analo! mnaachana siku hiyo hiyo! vaa ndom mbili ya kwanza ibakie humo humo yya pili utoke nayo huku unajfuta jasho ! vita ndan ya vita!
 
Back
Top Bottom