NIMEOKOTA laptop

NIMEOKOTA laptop

Huyu siyo fisadi mwenziwe mbarara zomba wewe,huyu ni mwanainchi mwenye uchu na wanainchi wenzake,kama mlikuwa naye kule ulafini ameamua kuwatoka kitambo na amekuja katika jamii na huu ni udhibitisho tosha kwamba ni mwanainchi mpenda wanainchi wake!


Umeokota, umeikuta?

Hata kama ameokota,ameikuta yeye kwa kuwa si fisadi ameamua kuitangazia umma! Kazi kwako mtumwa zomba
 
too strategic... achana kabisa na wabongo...:becky:
 
Hahaaaaa bujibuji weeeeeeeee..yaaniiii
 
Poa,no usimripot labda alikutana na mwenye gono huwezi jua!
Mambo miss chit chat? mwacheni bujibuji huwa anazo za kurukia barabara tu. hawezi kuwa accuse mademu wazuri kama wewe namna hii tumriport abuse?
 
Huyu siyo fisadi mwenziwe mbarara zomba wewe,huyu ni mwanainchi mwenye uchu na wanainchi wenzake,kama mlikuwa naye kule ulafini ameamua kuwatoka kitambo na amekuja katika jamii na huu ni udhibitisho tosha kwamba ni mwanainchi mpenda wanainchi wake!




Hata kama ameokota,ameikuta yeye kwa kuwa si fisadi ameamua kuitangazia umma! Kazi kwako mtumwa zomba

Kaona ya kizamani huyo hana lolote, halafu anajidai alimpa lifti! kumbe ni teksi dereva!

Hamjui kusoma katikati ya mistari?
 
Kumbe Bajaji nayo gari? Kweli atawapata!
sio bajaji ni kibagadu
_46801717_imag1.gif
 
Jamani, aliyepoteza mini laptop yake anitafute.
Nilikupa lift jana jioni maeneo ya Posta, kwa bahati mbaya ukaisahau laptop yako kwenye gari yangu.
Kwenye mazungumzo yetu ulijitambulisha kuwa wewe ni JF member, uliteremka mitaa ya Morocco
kama unajihisi wewe ni genuine owner wa hiyo laptop just call me on 0717454455

Mungu akubariki na kukuzidishia mema kwa hili jambo jema unalo fanya hapa. Be blessed Bujibuji
 
Jamani, aliyepoteza mini laptop yake anitafute.
Nilikupa lift jana jioni maeneo ya Posta, kwa bahati mbaya ukaisahau laptop yako kwenye gari yangu.
Kwenye mazungumzo yetu ulijitambulisha kuwa wewe ni JF member, uliteremka mitaa ya Morocco
kama unajihisi wewe ni genuine owner wa hiyo laptop just call me on 0717454455

Huu ndio ubinadamu bro! Shukrani kwako!
 
Poa,no usimripot labda alikutana na mwenye gono huwezi jua!

sasa kama alikutana na mwenye gono ndio awaingize warembe wote wa JF maana humu wamo mama zetu na dada zetu hatuwezi kukaa kimya akawatukana matusi ya nguoni namna hii
 
Jamani, aliyepoteza mini laptop yake anitafute.
Nilikupa lift jana jioni maeneo ya Posta, kwa bahati mbaya ukaisahau laptop yako kwenye gari yangu.
Kwenye mazungumzo yetu ulijitambulisha kuwa wewe ni JF member, uliteremka mitaa ya Morocco
kama unajihisi wewe ni genuine owner wa hiyo laptop just call me on 0717454455

JF Members wote wanapaswa kuiga mfano wa huyu bwana Bujibuji. Hakika wewe ni muungwana!
 
kaka mbona kama una bifu na mchaga mwezio Mkuu Rombo??kweli mtafungua duka pamoja hapo manzese namna hii??

aiseeee babaangu mimi sina bifu na m2 yoyote hata mod anajua kama jf inambowa ajituwe humu janvini coz sio lazima wote 2we members wa jf wengine wawe wasomaji 2
 
Back
Top Bottom