Nimeoa Mrangi

Nimeoa Mrangi

Nominii

Senior Member
Joined
Nov 24, 2022
Posts
101
Reaction score
205
Kutokana na misemo kadhaaa na kupitia baadhi ya nyuzi humu ndani, kuhusiana na jamii hiyo sijaamini nilichokutana nacho.

Nimeoa mwanamke mmoja Mrangi, keupe haswa. Kutokana na wanavyosemwa nimemkuta ni 'og' hajawahi guswa. Kamaliza chuo kikuu ana miaka 24.

Hii ni kigezo tosha kuwa jamii inabadilika ama ndiyo bahati nasibu?
 
Jiandae kurogwa sana ,malimbwata ya kutosha
Jiandae kuchapiwa na mtsa mzima
Wahaya hawana shida hata wakichapiwa. Watu wasiopenda kuchapiwa yaani wanao ona puchi Ni Mali Ni wasambaa na wazigua. Kama umechoka hizi adha za Dar za maji, umeme na kucheleweshewa mshahara, tembea na mke wa mzigua halafu ajue. Usinga hautakuwacha hai.
 
Kutokana na misemo kadhaaa na kupitia baadhi ya nyuzi umu ndan, kuhusian na jamii hiyo SIJAAAMIN NILICHOKUTANA NACHO.

Nimeoa dem mmoja mrangi keupe haswa. Kutokana na wanavosemwa Nimemkuta ni OG hajawai guswa.

Kamaliza chuo kikuu ana 24 age

Hii ni kigezo tosha kua jamii inabadilika?

Ama ndio bahati Nasibu.
Hongera sana
 
Kutokana na misemo kadhaaa na kupitia baadhi ya nyuzi umu ndan, kuhusian na jamii hiyo SIJAAAMIN NILICHOKUTANA NACHO.

Nimeoa dem mmoja mrangi keupe haswa. Kutokana na wanavosemwa Nimemkuta ni OG hajawai guswa.

Kamaliza chuo kikuu ana 24 age

Hii ni kigezo tosha kua jamii inabadilika?

Ama ndio bahati Nasibu.
Barabara ya TARURA umeikagua?
Halafu kumbe wewe bado wakuja, hujawahi kuona zile bikira kule Tanga za wanawake waliokwisha toa mimba zaidi ya moja?
 
Zero km hata mkija achana fresh tu ,hongera sana.

Asante, Sikua naamini maana anajua dini sana na alinipiga marufuku kusasambua kabla ya ndoa na kunambia Mama yake wameekeana miadi hatomuaibisha kw mkwewe kutomkuta bikra
 
Kutokana na misemo kadhaaa na kupitia baadhi ya nyuzi umu ndan, kuhusian na jamii hiyo SIJAAAMIN NILICHOKUTANA NACHO.

Nimeoa dem mmoja mrangi keupe haswa. Kutokana na wanavosemwa Nimemkuta ni OG hajawai guswa.

Kamaliza chuo kikuu ana 24 age

Hii ni kigezo tosha kua jamii inabadilika?

Ama ndio bahati Nasibu.
fungua mlango ili umwamini kisha aanze vimbwanga vyake. siku ukipikiwa kuku kwao kondoa ujue ndiyo mambo yanaanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom