Hongera kwa kuoa kwakweli!Kutokana na misemo kadhaaa na kupitia baadhi ya nyuzi humu ndani, kuhusiana na jamii hiyo sijaamini nilichokutana nacho.
Nimeoa mwanamke mmoja Mrangi, keupe haswa. Kutokana na wanavyosemwa nimemkuta ni 'og' hajawahi guswa. Kamaliza chuo kikuu ana miaka 24.
Hii ni kigezo tosha kuwa jamii inabadilika ama ndiyo bahati nasibu?
Kwenye uchawi warangi wanaloga kweli, ni wachawi sijapata kuona.Jiandae kurogwa sana ,malimbwata ya kutosha
Jiandae kuchapiwa na mtsa mzima
Makabila yote yanalogaKwenye uchawi warangi wanaloga kweli, ni wachawi sijapata kuona.
Na nyege zikiisha ubakia mazoea tuHongera kwa kuoa kwakweli!
ndoa mpya huwa tamu kuzidi machungwa matamu yaliyoiva vizuri! chunga vizuri yasije leta ukakasi kwenye meno yako siku zijazo
Hapo tikiti la buku tano lazima likuhusuWahaya hawana shida hata wakichapiwa. Watu wasiopenda kuchapiwa yaani wanao ona puchi Ni Mali Ni wasambaa na wazigua. Kama umechoka hizi adha za Dar za maji, umeme na kucheleweshewa mshahara, tembea na mke wa mzigua halafu ajue. Usinga hautakuwacha hai.
hahahaKwamba Ni zero kilometers?? Ndani ya mwaka km zake zitakua Kama amekimbia miaka 5 iliyopita
Mpwa usije kuoa:binti wa kihaya ni tatizo,binti wakichaga ni tatizo na binti wa kinyamwezi ni tatizo.Warangi oa tu maana mpwao walinipagaza sana hawa mabinti,kama ni wachawi au malaya itafahamika mbeleni ila oa hakuna asiyependa kukojolea pazuri(warangi ni pisi kali mno).