Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,089
- 4,723
Naona wengi mnawasema vibaya
Je mabaya ni mengi kuliko mazuri?
Binafsi sijawahi kufikiria kama ningekuja kuta bikra ya kirangi tena yenye miaka 23 ila nimekutana nayo
hii imesoma chuo cha dini na imehifadhi Juzuu 14 (ndugu zangu waislam wanaelewa hapa)
Huyu anajielewa pia hana mambo ya kiswahili swahili (umbea umbea hapendi. muda mwingi anajifungia ndani akijisomea Quran)
Anajua kujali siku anazokuja ghetto huwa anajua kupangilia mavazi yaani anaipangia nguo ya kuvaa mpaka saa na viatu
Je mabaya ni mengi kuliko mazuri?
Binafsi sijawahi kufikiria kama ningekuja kuta bikra ya kirangi tena yenye miaka 23 ila nimekutana nayo
hii imesoma chuo cha dini na imehifadhi Juzuu 14 (ndugu zangu waislam wanaelewa hapa)
Huyu anajielewa pia hana mambo ya kiswahili swahili (umbea umbea hapendi. muda mwingi anajifungia ndani akijisomea Quran)
Anajua kujali siku anazokuja ghetto huwa anajua kupangilia mavazi yaani anaipangia nguo ya kuvaa mpaka saa na viatu
