Moshi25
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,812
- 4,409
DuhKwamba Ni zero kilometers?? Ndani ya mwaka km zake zitakua Kama amekimbia miaka 5 iliyopita
DuhKwamba Ni zero kilometers?? Ndani ya mwaka km zake zitakua Kama amekimbia miaka 5 iliyopita
Antena umeikuta? Ama kibwenzi cha jogoo kipo? Mungu akupe mwisho mwema nae maana hao ukiona kuna baba mdogo ama mtoto wa mjomba kaja atafikia kwenu kataa kabisa. Pia tarajia kukimbiwa ataenda uturuki wamejaa sana huko.Kutokana na misemo kadhaaa na kupitia baadhi ya nyuzi humu ndani, kuhusiana na jamii hiyo sijaamini nilichokutana nacho.
Nimeoa mwanamke mmoja Mrangi, keupe haswa. Kutokana na wanavyosemwa nimemkuta ni 'og' hajawahi guswa. Kamaliza chuo kikuu ana miaka 24.
Hii ni kigezo tosha kuwa jamii inabadilika ama ndiyo bahati nasibu?
Antena umeikuta? Ama kibwenzi cha jogoo kipo? Mungu akupe mwisho mwema nae maana hao ukiona kuna baba mdogo ama mtoto wa mjomba kaja atafikia kwenu kataa kabisa. Pia tarajia kukimbiwa ataenda uturuki wamejaa sana huko.
Kisimi kipoakikombia sina shida mradi mbususu nimeianzisha mm naichakata mpaka ikae sawa uko ctajala
😂😂 warangi wanawezana wao kwa wao tofauti na hapo utachemka.....mimi mzazi wangu wangu mmoja ni mrangi na nilitamani sana kuowa mrangi lakini kila nilipokuwa nikiweka mambo yanakuwa magumu yaani hasi na chanya😁😁Kutokana na misemo kadhaaa na kupitia baadhi ya nyuzi humu ndani, kuhusiana na jamii hiyo sijaamini nilichokutana nacho.
Nimeoa mwanamke mmoja Mrangi, keupe haswa. Kutokana na wanavyosemwa nimemkuta ni 'og' hajawahi guswa. Kamaliza chuo kikuu ana miaka 24.
Hii ni kigezo tosha kuwa jamii inabadilika ama ndiyo bahati nasibu?
RIP Bro. tunakutakia yote mema. uwekwe kwenye chupa salama, ufanywe zuzu salamaKutokana na misemo kadhaaa na kupitia baadhi ya nyuzi humu ndani, kuhusiana na jamii hiyo sijaamini nilichokutana nacho.
Nimeoa mwanamke mmoja Mrangi, keupe haswa. Kutokana na wanavyosemwa nimemkuta ni 'og' hajawahi guswa. Kamaliza chuo kikuu ana miaka 24.
Hii ni kigezo tosha kuwa jamii inabadilika ama ndiyo bahati nasibu?
🤣🤣🤣🤣🤣Tafuta kinga mapema vinginevyo unaenda kuwa zezeta.
Ahahahahahahaha mkuu mm nimetrack all communication na nyumb ina CCTV camera ziko hiden
Unaweza kuwa umeuziwa mbuzi kwenye guniaUsiishi kwa misemo
Stick kwenye vigezo vyako
Nikupongeze kwa kuoa MKE bikra