Nimeoa mke mlokole ila sikushauri uoe mlokole

Nimeoa mke mlokole ila sikushauri uoe mlokole

Kulikuwa na ulazima gani wa kutunywesha chai
Eeeh yaani kipenzi changu unaonekana huwajui walokole!
Nikishusha visa vyao hapa utachoka!

Nikiwa form 1 nilikua natapika nesi wa shule akaniambia nina dalili zote za ulcers.

Nikampigia simu mama kwamba nesi kasema nina dalili za ulcers.
Mama yangu akaniambia "Ushindwe kwa jina la Yesu wa Nazaleth! Nakemea hivyo vidonda"

Siku zikapita mbona nililazwa, nikakonda kwa ulcers.
 
Wakuu habari , mi nimeoa mke mlokole Ila changamoto nazopitia no balaa tupu, mke anshinda church kuaanzia asubuhi Hadi jioni

*Anarudi hapiki anasema alikuwa na kazi kwa mchungaji

*Ukiomba game anasema amechoka

Yapo mengi kweli mpaka niamua nihame nyumba na kumuacha yeye aendelee na Mambo yake

nikimumbuka mchungaji ni binadam na ni mwanaume kama wanaume wengine.

naishia kukwambia pole.

huyo mkeo akiombwa gam anatoa upendo upo huko.
 
Wakuu habari , mi nimeoa mke mlokole Ila changamoto nazopitia no balaa tupu, mke anshinda church kuaanzia asubuhi Hadi jioni

*Anarudi hapiki anasema alikuwa na kazi kwa mchungaji

*Ukiomba game anasema amechoka

Yapo mengi kweli mpaka niamua nihame nyumba na kumuacha yeye aendelee na Mambo yake
Sasa mkuu mbona haukitendei haki cheo cha Baba kichwa cha familia binafsi mke wangu lazima afuate dini yangu
 
Kuna jamaa yangu mke wake alikuwa anashinda church kuanzia asbuhi mpaka jioni..

Siku moja alipiga bwax akazama tempo madhabauni na panga..
Kanisani kulikua na mfungo wa kukaa siku tatu bila kula kitu chochote, siku zote 3 mnashinda na kulala kanisani.

Nilikua darasa la 5 mama akanichukua tukaenda, mkiingia wote mlango unafungwa unafunguliwa jioni kwenda nje kujisaidia tu halafu mnarudi ndani.

Imefika jioni njaa inaniuma sana nikaanza kulia! Mama ananiambia nijikaze tumalize mfungo wote.
Walivyoniona nazidi kulia wakaniita mbele wakaanza kuniombea eti nina mapepo.

Njaa inauma nazidi kulia na wao wanazidi kuniombea mapepo yatoke, walivyoona mapepo hayatoki nikafunguliwa mlango mama akanipa hela niende kwa ndugu yangu yeye anabaki kwenye maombi.

Nilivyofika huko nilikula na kilio kiliisha.
 
Wakuu habari , mi nimeoa mke mlokole Ila changamoto nazopitia no balaa tupu, mke anshinda church kuaanzia asubuhi Hadi jioni

*Anarudi hapiki anasema alikuwa na kazi kwa mchungaji

*Ukiomba game anasema amechoka

Yapo mengi kweli mpaka niamua nihame nyumba na kumuacha yeye aendelee na Mambo yake
Huyo sio mkeo ni mke wa mchungaji, kwa kifupi umemuolea mchungaji,Fuatilia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom