Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,004
- 173,644
Ningekupa mimba tu uhangaike nayo maana kutulia umeshindwa!Kweli babe, vipi ungekua ni wewe😂?
Ningekupa mimba tu uhangaike nayo maana kutulia umeshindwa!Kweli babe, vipi ungekua ni wewe😂?
Password angeitapika tu 😂😂😂Ustaarabu au ujinga tu, leo kaanza hivvyo mwanaume umenuna, kesho atanyanduliwa mwaume utazira kumnyandua hapo hakuna issue.
Binafsi ningemtight mpaka atoe password na huo mziki wake sio wa kitoto lazima angeomba msamaha
Kabisa kabisaPassword angeitapika tu 😂😂😂
Au km vipi hio dawa ya chandarua unakunywa ili mbu akikung'ata tu anakufa mwenyeweNi muhimu kulala chandarua kilichowekwa dawa
Sasa yeye anachepuka kwanini akupangie maisha, dah wewe fanya kitu roho yako inapenda bana,Mimi na wangu marufuku kugusana simu Wala kufatiliana kila mtu afanye atakalo.Jamani yeye simu zake zote hanipi passwords na nishamfuma mara nyingi tu,ilikua ni shetani tu na nlichat nae as friends only, halafu jana kanijia ghafla kanipokonya simu kaipekura Kote hajakuta kitu
Asante kaka umeona mtu ni narcissistic hata shoga hajamuacha mtu unavumilia kisa Jamii na watoto, halafu iwe mm ni mkosa pekee kisa kuchat tu na mtu wala sina mpango wa kutoka nae na wala simjui yupo nchi za nje ,ni kama story tu kupass timeLeo nimejifunza kumbe wengi hatuthamini HISIA na utu wa mwanamke.
Mwenye makosa hasemwi lakini asiye na kosa anatukanwa kweli kweli.
Ipo siku wanawake wa nchi hii watashtuka...wanaume tutateseka sana
🤣🤣🤣wivu hauchagui urefu wala ufupi humjia yeyoteKa mume kako ni kafupi ? Kana kichwa kama koleo? Na ma miguu yana bonge la mavigimbi?.Kaa kwa kutulia katakuua maana vina wivu balaa .
Asee! Huyu mchunguze vizuri. Kama haliwi basi anakula.Mbona yeye anachat hadi na mashoga anaomba number zao, mie iyo kuchat na mtu hana sina ni ya kutoka nae ndo kesi ya hivo jamani
Na mie nimewaza hivyo yaan daaah.Hebu fikiria unaachwa kisa unachat na mtu tu hata hamjakutana hata hamjafanya. Acha kuwa mjinga.
Maisha bana...
Wengine watakatifuuu halafu wanafiki (yaani wanafanya huku wanajiona hawajulikani)
Wengine bandidu tuu wanafanya for fun na ni wakweli ...
Anyways, umenikumbusha Japan Tour.
Dada plz taratibu wee, usitutishe hapa michepuko mitamu sometimes. HuuhuhuhMumeo ni mstaarabu sana na umemuonea eeh? Yaani ashtukie kitu na akuombe password ukatae kutoa aki mimi ni mdada ila ningekua ndiye mumeo hiyo password ungetoa kwa hayo mabanzi(makonzi) ungekula, why usitulie na ndoa yako unajitafutia kuachwa buree
Hakika kabisaaah, hii principle ni yangu kabisaah, na mahusiano yetu yako vizuri zaidi ya jana.Sasa yeye anachepuka kwanini akupangie maisha, dah wewe fanya kitu roho yako inapenda bana,Mimi na wangu marufuku kugusana simu Wala kufatiliana kila mtu afanye atakalo.
Km ipo ipo tu !!! ishi kwa Amani na uhuru unaweza akaishi kwa hisia za kuibiwa utazuiaje hiyooo!!! atakuacha tu!!!Tuliza kiharage icho utapoteza Mme, shauri zako
Tena hamna kugombana gombana hiviHakika kabisaaah, hii principle ni yangu kabisaah, na mahusiano yetu yako vizuri zaidi ya jana.