GodfreyTajiri
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 986
- 655
Nina hakika huyo mume wake angejulikana kama yumo humu na yeye angedondoshewa nyundo.Leo nimejifunza kumbe wengi hatuthamini HISIA na utu wa mwanamke.
Mwenye makosa hasemwi lakini asiye na kosa anatukanwa kweli kweli.
Ipo siku wanawake wa nchi hii watashtuka...wanaume tutateseka sana