King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,341
- 88,511
Mkuu embu funguka kuhusu kuandika barua, what ifu matumizi yatafika unit 60 kwa mwezi huku ulishaandika barua?
Wanakuchimba Mkwara hautakiwi kuzidisha unit 50 kwa mwezi,familia yetu kijijini karatu wanatumia hiyo hudumu ila mie unit 50 kwa mwezi hazitoshi maana taa za watts 40 zipo 6 nje zinawaka kuanzia saa kumi na mbili jioni mpaka saa 12 asubui(12hrs x 240w~3Units),Friji unit 2 kwa siku,TV +Redio 2units kwahyo kwa siku natumia karibia unit 7 je kwa mwezi units 200!!