Nimenunua LUKU sh 1000/-

Nimenunua LUKU sh 1000/-

Mimi wa 5000 napata units 7 hiv tatizo n lip?
yaani tanesco ndio kampuni pekee ambayo mteja mwaminifu,hapewi ofa ila anakamuliwa kisawasawa.

Iko hivi,hapo wewe uko katka kiwango cha juu cha matumizi,yaani kakiwanda kadogo.kuna kakiwanda ka chini kidogo kwa hela hiyo angepewa unit 13.na chini kabisa kwa hela hiyo angepewa unit zaidi ya 30.

Lipa umeme kadri unavyotumia,yaani LUKU.
 
Hakika huduma za kibenki kwenye simu zimesaidia sana leo hii ilikuwa nilale giza lakini katika kuangalia tigopesa nikakuta kuna shilingi 1200/- nikafanya muamala tanesco nimefanikiwa kupata unit 2 za umeme tosha kabisa mpaka kesho! Da walala hoi tunafurahije?
N:B ukiwa na elf 5000 usinunue umeme kwa kuiweka yote watakata kodi utapata umeme wa sh 3500 badala yake nunua sh 2000, halaf muamala mwingine elf 2000 halaf mwingine elf 1000 utapata unit 12 wakati ukiitoa yote utaambulia unit 7 tu!!!
leo mjanja wewe , na hivi jengo linabomolewa watakusubiri uweke hela nyingi wakukate na hii uliyoikimbia , ili kupapunguza machungu ya ubomoaji.
 
Inawezekana umeme ukawa bei tofauti tofauti,
Elf 10 napata unit 28.1
Elf 15 nimepata unit 42
 
Inategemea upo tariff ipi, unapotumia umeme mwingi kwa mwezi unapangiwa kiwango chako. Nabahatisha ila uliza Tanesco. Mahesabu ya kununua kidogokidogo sikujua,wakijua wengi Tra itakula kwao
 
Back
Top Bottom