cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,662
- 137,394
Wee nae katafute mdoli ujalibu kuzaa nae, yaan mambo mengine ni kujitafutia tu matatizo.hutaki haya sawa
Wee nae katafute mdoli ujalibu kuzaa nae, yaan mambo mengine ni kujitafutia tu matatizo.hutaki haya sawa
Mwisho umemaliza vzuri ila ulivyoanza umebugiYani kwa kauli hiyo atakae kubali kuolewa na wewe nae apimwe akili. Hivi ikitokea ukapata ajali au ugonjwa ukaadhiri mifumo yako ya uzazi ushindwe kumpa mwanamke ujauzito utaweka wapi sura yako?
Tasa na wasio tasa wote wameumbwa na Mungu.
Wewe omba Mungu akupe mwenza sahihi na ndoa yenye Furaha baraka ya watoto itakuja tu,usimpangie Mungu.
Nipe mzigo huo uonekwa akili hiyo wewe ndo mjaza choo, kwanza hata nguvu za kiume huna!
Duuh kumradhi mkuuMbona umetukana na kutotumia lugha isiyo na staha kabisa. Kusema matasha wajaza vyoo. Is not good language Kwa mtu anayejulielewa.
Mwisho umemaliza hovyoWanaanza hivi hivi, na mabinti wa siku hizi wasivyojielewa utaona mtu wa hivi ndio anamkubalia anampa mchezo bila shida na kumuacha awe ndio mwanaume wake, hapo akishatest mitambo anamwambia tena atoe ili amle hadi atapochoka kisha amuache.
Aiseee kuna watu ni takataka
nilikuwa sitaki kucheka imenibidi, mkúu punguza jazbaWee nae katafute mdoli ujalibu kuzaa nae, yaan mambo mengine ni kujitafutia tu matatizo.
toka hapa, uzi wako huu umenitibua mno.nilikuwa sitaki kucheka imenibidi, mkúu punguza jazba
chukua linalokufaa mengine yaache hapaMwisho umemaliza vzuri ila ulivyoanza umebugi
Hii kitu nimeshasikia baadhi ya mademu wakiapa kutokuzaa na waume zao kisa wana sura nzito, wako tayari watafute mchepuko handsome wambambikie mtoto mumeDah....mkuu hebu tupia kapasport size...isijekuwa unamlaumu bure...labda Ana wasiwasi na sura za watoto zitakavyokuwa
Mkuu acha utaniHii kitu nimeshasikia baadhi ya mademu wakiapa kutokuzaa na waume zao kisa wana sura nzito, wako tayari watafute mchepuko handsome wambambikie mtoto mume
amekujibu vzr sema ttz ni ww kutaka kumfanya mwenzio kiwanda cha majaribioWakuu habari
Huyu binti nahisi kaikosa ndoa, yaani ni zoezi simple lakini anashindwa kutekeleza, wakuu sikuizi watu tumeshtuka hatutaki kuoa matasa mwishowe wanaishia kujaza choo tuu, nahisi huyu binti anataka kuzeekea nyumbani.
Inabidi tushtuke wakuu ndoa nyingi zimekosa mvuto kutokana na kukurupuka kuowa mwanamke tasa mjaza choo matokeo yake inakua mzozo kwa ndugu na jamaa kwamba kwanini umeowa gumba.
Mabinti acheni kuchezea bahati wenzenu wanazisaka ndoa kwa waganga sasa endeleeni kushikwa akili na mama zenu.
Sina maana hiyo mkuu, kiukweli inatulazimu tufanye hivyo kwani mmekuwa hamueleweki, naweza kutoa posa na matakataka mengine lakini unaambulia mgumbaamekujibu vzr sema ttz ni ww kutaka kumfanya mwenzio kiwanda cha majaribio
kuzaa ni majaliwa mkuu..Sina maana hiyo mkuu, kiukweli inatulazimu tufanye hivyo kwani mmekuwa hamueleweki, naweza kutoa posa na matakataka mengine lakini unaambulia mgumba
Ila kupitia maoni ya wadau kuna kitu nimekinyaka
Nipe tunda hilo tutestkuzaa ni majaliwa mkuu..
je sio ww ndio mgumba