X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,667
- 12,238
Nimekaa nikawaza sana changamoto ambazo nakutana nazo maishani, changamoto hizi muda mwingine zinanifanya nakufuru, na huwa najuta sana, maisha ni magumu, kazi nazo siku hizi zimekuwa ngumu kiasi kwamba hakuna tofauti kati ya mwenye kazi na asie na kazi. siku hizi ukimpata mtu akakusaidia 1000 tu ya kula mshukuru sana na umthamini kama ndugu.
Miongozni mwa vitu vinavyo nifanya nijute sana mimi mwenzenu ni kuoa nikiwa na umri mdogo, niliingia kwenye maisha ya ndoa punde tu nilipo kuwa na miaka 24. na chanzo kikubwa cha mimi kuingia kwenye ndoa kichwa kichwa ni kwasababu ya ahadi niliyo jiahidi kuwa sitaki mtoto wangu alelewe na baba mwingine ingali nikiwa hai. hivyo katika kurukaruka na mabinti ikatokea huyu mke wangu akashika mimba. sikuwa na jinsi ikabidi tu nifanye uhalalishwaji ili nipate fursa ya kumlea mtoto wangu katika maadili ya wazazi wote wawili. ili mtoto asije kunilaumu hapo baadae. {hii ni kutokana na maisha ambayo nimewahi kuyapitia nikiwa mdogo hivyo sipendi sana mtoto wangu afuate njia yangu}
Kwenye hawa mabinti tunao papukia kuwaoa kuna wengine ni wachawi total, kuna wengine wana majini mabaya ya mikosi,
Kuna kipindi kwenye haya maisha yangu ya ndoa kwenye baadhi ya tarehe zikifika nyumba huwa naiona chungu sana, tunaweza tukanuniana bila sababu maalum, hii hali inaweza kudumu hadi siku nne nakuendelea, nikimuangalia mwanangu bado mdogo ndio kwanza yupo kwenye hatua za kujifunza kusoma.
Kuna muda ukimuamsha mwenzio ili ule tunda la usiku bila sababu za msingi aamki. unaamua tu kumuacha na kufanya mambo mengine ya kukupotezea mawazo. waliosema tumia muda mwingi kumpata mtu sahihi awakukosea.
Ukitaka kuoa kijana mwenzangu ambae hujao hakikisha unaoa mwanamke unae jua historia yake, hapa ni bora ukaangalia wale uliokua nao utotoni ni bora zaidi kuliko kukutana na mwanamke tu juu juu utakuja kujuta kama mimi ninavyojuta.
Waliosema ukitaka kufanikiwa jifunze kubalance ny.ege hawakukosea kabisa, mimi mwenzenu chanzo cha majuto haya yote ni kushindwa kudhidhibiti ny.ege zangu.
Huyu binti kwaajili ya mwanangu ninampenda ila nahisi kuna matatizo yao kwenye ukoo wao ajawahi kuniambia ila haki vile kuna vitimbi haviandikiki kabisa...nashindwa nianzie wapi kuviandika ili jamii inielewe ila kwakifupi usiinkimbilie ndoa...tumia muda miwngi sana kumschunguza mtu ulie nae kwenye mahusiano...usikosee kuoa utajuta sana
Miongozni mwa vitu vinavyo nifanya nijute sana mimi mwenzenu ni kuoa nikiwa na umri mdogo, niliingia kwenye maisha ya ndoa punde tu nilipo kuwa na miaka 24. na chanzo kikubwa cha mimi kuingia kwenye ndoa kichwa kichwa ni kwasababu ya ahadi niliyo jiahidi kuwa sitaki mtoto wangu alelewe na baba mwingine ingali nikiwa hai. hivyo katika kurukaruka na mabinti ikatokea huyu mke wangu akashika mimba. sikuwa na jinsi ikabidi tu nifanye uhalalishwaji ili nipate fursa ya kumlea mtoto wangu katika maadili ya wazazi wote wawili. ili mtoto asije kunilaumu hapo baadae. {hii ni kutokana na maisha ambayo nimewahi kuyapitia nikiwa mdogo hivyo sipendi sana mtoto wangu afuate njia yangu}
Kwenye hawa mabinti tunao papukia kuwaoa kuna wengine ni wachawi total, kuna wengine wana majini mabaya ya mikosi,
Kuna kipindi kwenye haya maisha yangu ya ndoa kwenye baadhi ya tarehe zikifika nyumba huwa naiona chungu sana, tunaweza tukanuniana bila sababu maalum, hii hali inaweza kudumu hadi siku nne nakuendelea, nikimuangalia mwanangu bado mdogo ndio kwanza yupo kwenye hatua za kujifunza kusoma.
Kuna muda ukimuamsha mwenzio ili ule tunda la usiku bila sababu za msingi aamki. unaamua tu kumuacha na kufanya mambo mengine ya kukupotezea mawazo. waliosema tumia muda mwingi kumpata mtu sahihi awakukosea.
Ukitaka kuoa kijana mwenzangu ambae hujao hakikisha unaoa mwanamke unae jua historia yake, hapa ni bora ukaangalia wale uliokua nao utotoni ni bora zaidi kuliko kukutana na mwanamke tu juu juu utakuja kujuta kama mimi ninavyojuta.
Waliosema ukitaka kufanikiwa jifunze kubalance ny.ege hawakukosea kabisa, mimi mwenzenu chanzo cha majuto haya yote ni kushindwa kudhidhibiti ny.ege zangu.
Huyu binti kwaajili ya mwanangu ninampenda ila nahisi kuna matatizo yao kwenye ukoo wao ajawahi kuniambia ila haki vile kuna vitimbi haviandikiki kabisa...nashindwa nianzie wapi kuviandika ili jamii inielewe ila kwakifupi usiinkimbilie ndoa...tumia muda miwngi sana kumschunguza mtu ulie nae kwenye mahusiano...usikosee kuoa utajuta sana