Love bug
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 209
- 210
ww unadhani mm ndio nina kizazi cha majaribioNipe tunda hilo tutest
ww unadhani mm ndio nina kizazi cha majaribioNipe tunda hilo tutest
changamkia fursa hiyo mamitoww unadhani mm ndio nina kizazi cha majaribio
Kama hiyo akili ndo unayo basi kazi ipoWakuu habari
Huyu binti nahisi kaikosa ndoa, yaani ni zoezi simple lakini anashindwa kutekeleza, wakuu sikuizi watu tumeshtuka hatutaki kuoa matasa mwishowe wanaishia kujaza choo tuu, nahisi huyu binti anataka kuzeekea nyumbani.
Inabidi tushtuke wakuu ndoa nyingi zimekosa mvuto kutokana na kukurupuka kuowa mwanamke tasa mjaza choo matokeo yake inakua mzozo kwa ndugu na jamaa kwamba kwanini umeowa gumba.
Mabinti acheni kuchezea bahati wenzenu wanazisaka ndoa kwa waganga sasa endeleeni kushikwa akili na mama zenu.
Na yeye amestuka hataki kuwa single mother. Kuolewa ataolewa na mtu sahihi na wewe utamuoa atakayekubaliana na matakwa yako.Mkuu sikuizi tumeshituka washapigwa sana watu hivyo tumejajanjaruka
Mkuu me nayeye tunapendana sana ila mbishi hanisikilizi mimi boyfriend wakeNa yeye amestuka hataki kuwa single mother. Kuolewa ataolewa na mtu sahihi na wewe utamuoa atakayekubaliana na matakwa yako.
Kiufupi nyie hampendani
Katafute anaye kusikilizaMkuu me nayeye tunapendana sana ila mbishi hanisikilizi mimi boyfriend wake
Mkuu agiza maji makubwa ya dasani nakuja kulipa
Mimi kama mtoa mada naomba iishie hapa
Kongole nyingi kwa huyo dada kushtukia kuwa humpendi mapema. kwaio watu wasiozaa hawastahili kupendwa? je wewe ukiwa huwezi kubebesha mimba utengwe? inasikitisha sanaWakuu habari
Huyu binti nahisi kaikosa ndoa, yaani ni zoezi simple lakini anashindwa kutekeleza, wakuu sikuizi watu tumeshtuka hatutaki kuoa mwanamke asiyezaa, nahisi huyu binti anataka kuzeekea nyumbani.
Inabidi tushtuke wakuu ndoa nyingi zimekosa mvuto kutokana na kukurupuka kuoa mwanamke asiye na uzazi matokeo yake inakua mzozo kwa ndugu na jamaa kwamba kwanini umeoa mgumba.
Mabinti acheni kuchezea bahati wenzenu wanazisaka ndoa kwa waganga sasa endeleeni kushikwa akili na mama zenu.