cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,484
- 137,119
hivi hata unakijua unacho kiandika? Hebu nitolee upuuzi wao hapa, yaan hufai hata kuwa na watoto.Mkuu nauwezo wakukuhudumia wewe na familia yako kwa ujumla
hivi hata unakijua unacho kiandika? Hebu nitolee upuuzi wao hapa, yaan hufai hata kuwa na watoto.Mkuu nauwezo wakukuhudumia wewe na familia yako kwa ujumla
Kwani unaoa mimba au unaoa mke?Wakuu habari
Huyu binti nahisi kaikosa ndoa, yaani ni zoezi simple lakini anashindwa kutekeleza, wakuu sikuizi watu tumeshtuka hatutaki kuoa matasa mwishowe wanaishia kujaza choo tuu, nahisi huyu binti anataka kuzeekea nyumbani.
Inabidi tushtuke wakuu ndoa nyingi zimekosa mvuto kutokana na kukurupuka kuowa mwanamke tasa mjaza choo matokeo yake inakua mzozo kwa ndugu na jamaa kwamba kwanini umeowa gumba.
Mabinti acheni kuchezea bahati wenzenu wanazisaka ndoa kwa waganga Asa endeleeni kushikwa akili na mama zenu.
Wakuu habari
Huyu binti nahisi kaikosa ndoa, yaani ni zoezi simple lakini anashindwa kutekeleza, wakuu sikuizi watu tumeshtuka hatutaki kuoa matasa mwishowe wanaishia kujaza choo tuu, nahisi huyu binti anataka kuzeekea nyumbani.
Inabidi tushtuke wakuu ndoa nyingi zimekosa mvuto kutokana na kukurupuka kuowa mwanamke tasa mjaza choo matokeo yake inakua mzozo kwa ndugu na jamaa kwamba kwanini umeowa gumba.
Mabinti acheni kuchezea bahati wenzenu wanazisaka ndoa kwa waganga Asa endeleeni kushikwa akili na mama zenu.
Unataka kurudia kosa la mama yako tena? Kwanini huoni ubaya wa kuwa mtoto wa nje ya ndoa.Mkuu mimi nimtoto wa nje ya ndoa
Ki ukwel jamaa akil yake anaijua mwenyewKundi la wanaume linazidi kupungua tu. Yan mwanaume mzima unatumia kauli ya "wajaza choo" na dada zako wasemeje?
Yan ww bado ujui kitu chochote kuhusu maswala ya uzazi kama ungekuwa unajua ungemchua ukapime hospital ili ujue kama ni tasa ama la.
Na Unahisi wanawake tu ndio matasa? Vip kama ww ndio ukiwa na tatzo na yeye akukimbie kwa kumjazia choo(kama unavyo sema) ama?
Unataka kumpima kwa kigezo cha kubeba mimba ili ujue kama ni mzima je unajua kuwa ata group za damu nazo zinaweza changia watu kutokuweza kupeana ujauzito (mimba zikaishi kuharibika kabla ya mda wake)?
Ebu jaribu kuficha ujinga bas. Huyo mwanamke wako ana akili sana kukuzidi
Sasa naona Umeanza kuvujisha siriMtoa mada utakuwa na mapungufu mengi sana kwenye sekta ya mapenzi!mwanamke atajilengesha tena miezi ya mwanzo tu ya mapenzi kubeba mimba yako bila tabu endapo utakuwa muigizaji mzuri wa mambo kama haya!
1:Jifanye kumshirikisha hata kama unataka kununua taulo lako mwenyewe!mwambie baby kuna taulo hapa nimelipenda linauzwa buku 5 vipi ninunue ama niachane nalo?(atajiona ni mtu muhimu sana kwako)
2:Tafuta japo Elfu 50 mwambie baby hii nitunzie nikikaa nayo nitatumia (hata kama akikutapeli poa tu lkn akilini mwake atajijengea kuwa unamwamini sana)
3:Mkabidhi funguo za ghetto akae nazo siku kadhaa kisha baadae unaenda kuzipora kwa kusingizio kuwa umepoteza za kwako
4:Mtambulishe kwa wajomba feki na mabinamu feki kibao!
Ukitumia mbinu aina hizi kubebewa mimba ni 100%
hivi hata unakijua unacho kiandika? Hebu nitolee upuuzi wao hapa, yaan hufai hata kuwa na watoto.
Nimejifunza kituMtoa mada utakuwa na mapungufu mengi sana kwenye sekta ya mapenzi!mwanamke atajilengesha tena miezi ya mwanzo tu ya mapenzi kubeba mimba yako bila tabu endapo utakuwa muigizaji mzuri wa mambo kama haya!
1:Jifanye kumshirikisha hata kama unataka kununua taulo lako mwenyewe!mwambie baby kuna taulo hapa nimelipenda linauzwa buku 5 vipi ninunue ama niachane nalo?(atajiona ni mtu muhimu sana kwako)
2:Tafuta japo Elfu 50 mwambie baby hii nitunzie nikikaa nayo nitatumia (hata kama akikutapeli poa tu lkn akilini mwake atajijengea kuwa unamwamini sana)
3:Mkabidhi funguo za ghetto akae nazo siku kadhaa kisha baadae unaenda kuzipora kwa kusingizio kuwa umepoteza za kwako
4:Mtambulishe kwa wajomba feki na mabinamu feki kibao!
Ukitumia mbinu aina hizi kubebewa mimba ni 100%
huyu m2 sijui anakwama wapi eti
Sasa naona Umeanza kuvujisha siri
Wakuu habari
Huyu binti nahisi kaikosa ndoa, yaani ni zoezi simple lakini anashindwa kutekeleza, wakuu sikuizi watu tumeshtuka hatutaki kuoa matasa mwishowe wanaishia kujaza choo tuu, nahisi huyu binti anataka kuzeekea nyumbani.
Inabidi tushtuke wakuu ndoa nyingi zimekosa mvuto kutokana na kukurupuka kuowa mwanamke tasa mjaza choo matokeo yake inakua mzozo kwa ndugu na jamaa kwamba kwanini umeowa gumba.
Mabinti acheni kuchezea bahati wenzenu wanazisaka ndoa kwa waganga sasa endeleeni kushikwa akili na mama zenu.
Na we bas hakuamin, mwanamke akizaa ukamkimbia thaman yake hupungua sanaHatuamini vipimo vya hospitali
Nahisi jibu unaloKwani unaoa mimba au unaoa mke?
Mkuu agiza maji makubwa ya dasani nakuja kulipaMtoa mada utakuwa na mapungufu mengi sana kwenye sekta ya mapenzi!mwanamke atajilengesha tena miezi ya mwanzo tu ya mapenzi kubeba mimba yako bila tabu endapo utakuwa muigizaji mzuri wa mambo kama haya!
1:Jifanye kumshirikisha hata kama unataka kununua taulo lako mwenyewe!mwambie baby kuna taulo hapa nimelipenda linauzwa buku 5 vipi ninunue ama niachane nalo?(atajiona ni mtu muhimu sana kwako)
2:Tafuta japo Elfu 50 mwambie baby hii nitunzie nikikaa nayo nitatumia (hata kama akikutapeli poa tu lkn akilini mwake atajijengea kuwa unamwamini sana)
3:Mkabidhi funguo za ghetto akae nazo siku kadhaa kisha baadae unaenda kuzipora kwa kusingizio kuwa umepoteza za kwako
4:Mtambulishe kwa wajomba feki na mabinamu feki kibao!
Ukitumia mbinu aina hizi kubebewa mimba ni 100%
hutaki haya sawahivi hata unakijua unacho kiandika? Hebu nitolee upuuzi wao hapa, yaan hufai hata kuwa na watoto.