DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,385
- 98,853
Wakuu,
leo Naandika kwa uchungu Sana,
Hivi karibuni Nilikua Kwny msiba wa mfanyabiashara mwenzangu alifariki.
Baada ya msiba kimekaa kikao Cha mirathi.Kama marafiki na washirika wa karibu wa marehemu tulihudhuria.
Kuna mdada Kaja na mtoto mgongoni na kujitambulisha kua alizaa na marehemu enzi za uhai wake, mtoto Sasa ana miaka 2.
Baada ya kuskia vile mjane wa marehemu kawa mkali sn kua hamtambui huyo mtoto, anachojua huyo mdada Ni mpangaji tu kwenye nyumba yao mwaka wa 6 huu tangu 2016 kipindi hicho huyo mdada akiwa ni mwanachuo. Habari za Alikua ni hawara yake na alizaa nae Ndo anaziskia leo Hii pale msibani.
Kaka wawili wa marehemu wakamtetea binti kua wanamtambua na marehemu alishawatambulisha kwa uyo binti na huyo mtoto kabla hajafariki, japo kwenye wosia hajataja kazaa nje Wala kua na MKE mwngn tofauti na mkewe.
Kaka hao wakasisitiza busara itumike huyu mdada nae afikiriwe kwenye mirathi maana ana damu ya ukoo wao, kwamba ile nyumba ya kupanga anayoishi mdada, aachiwe iwe yake Moja kwa moja ili aweze kumlea huyu mtoto wake kwa kutumia Kodi za wapangaji maana BINTI alierithishwa hiyo nyumba. Tayari kesharithishiwa nyumba nyingine moja na shamba la miti mkoani.
Mjane wa marehemu pamoja na binti alierithishwa wakawa wakali sana kwamba hawamtambui mtoto Wala mdada. Mzozo ukawa mkubwa wazee wa familia wakaingilia Kati na kutoa msimamo wa familia kua, kwa mujibu wa uislamu marehemu alitakiwa amrithishe uyo mdada chake mapema kwa ajili ya mwanae kabla hajafariki.
Kwahyo msimamo wa familia ukawa ni wamemtambua mtoto Ni ukoo wao, ila suala la urithi hatopata Chochote kitu.
Na Siku 2 mbeleni tumekuja kuskia mjane na binti aluyerithishwa walienda kumfurusha kwenye ile nyumba kwa kumtupia vyombo vyake nje yule mdada aondoke kwenye mazingira yao. Hii kitu imeniacha mdomo wazi.
Story za hapa na pale,
Nikagundua mdada kwa sasa Ni jobless na alimtegemea marehemu kwa kila kitu, na mahusiano Yao yalianza binti akiwa mwaka wa 2 chuo baada ya kupanga pale.
Mdada kabadilika kutoka mpangaji,
kua hawara wa mwenye nyumba na kuacha kulipa kodi.Mwaka wa 3 kabeba mimba na kujifungua akiwa pale pale kwenye ile nyumba na kua Mchepuko wa kudumu wa marehemu bila MKE wa marehemu kujua.
Nnachoomba,
Ndugu zetu waislamu naombeni mlitolee ufafanuzi hili la mtoto au MKE wa nje ya ndoa kutoruhusiwa kurithi mali limekaaje?
Suala Ni Kweli au sio kweli?
Kama Ni kweli,
Nawasihi sana Wanaume mlioozaa na Michepuko, wawezesheni mapema kiuchumi michepuko yenu kwa ajili ya future ya damu zenu
NAWASILISHA
leo Naandika kwa uchungu Sana,
Hivi karibuni Nilikua Kwny msiba wa mfanyabiashara mwenzangu alifariki.
Baada ya msiba kimekaa kikao Cha mirathi.Kama marafiki na washirika wa karibu wa marehemu tulihudhuria.
Kuna mdada Kaja na mtoto mgongoni na kujitambulisha kua alizaa na marehemu enzi za uhai wake, mtoto Sasa ana miaka 2.
Baada ya kuskia vile mjane wa marehemu kawa mkali sn kua hamtambui huyo mtoto, anachojua huyo mdada Ni mpangaji tu kwenye nyumba yao mwaka wa 6 huu tangu 2016 kipindi hicho huyo mdada akiwa ni mwanachuo. Habari za Alikua ni hawara yake na alizaa nae Ndo anaziskia leo Hii pale msibani.
Kaka wawili wa marehemu wakamtetea binti kua wanamtambua na marehemu alishawatambulisha kwa uyo binti na huyo mtoto kabla hajafariki, japo kwenye wosia hajataja kazaa nje Wala kua na MKE mwngn tofauti na mkewe.
Kaka hao wakasisitiza busara itumike huyu mdada nae afikiriwe kwenye mirathi maana ana damu ya ukoo wao, kwamba ile nyumba ya kupanga anayoishi mdada, aachiwe iwe yake Moja kwa moja ili aweze kumlea huyu mtoto wake kwa kutumia Kodi za wapangaji maana BINTI alierithishwa hiyo nyumba. Tayari kesharithishiwa nyumba nyingine moja na shamba la miti mkoani.
Mjane wa marehemu pamoja na binti alierithishwa wakawa wakali sana kwamba hawamtambui mtoto Wala mdada. Mzozo ukawa mkubwa wazee wa familia wakaingilia Kati na kutoa msimamo wa familia kua, kwa mujibu wa uislamu marehemu alitakiwa amrithishe uyo mdada chake mapema kwa ajili ya mwanae kabla hajafariki.
Kwahyo msimamo wa familia ukawa ni wamemtambua mtoto Ni ukoo wao, ila suala la urithi hatopata Chochote kitu.
Na Siku 2 mbeleni tumekuja kuskia mjane na binti aluyerithishwa walienda kumfurusha kwenye ile nyumba kwa kumtupia vyombo vyake nje yule mdada aondoke kwenye mazingira yao. Hii kitu imeniacha mdomo wazi.
Story za hapa na pale,
Nikagundua mdada kwa sasa Ni jobless na alimtegemea marehemu kwa kila kitu, na mahusiano Yao yalianza binti akiwa mwaka wa 2 chuo baada ya kupanga pale.
Mdada kabadilika kutoka mpangaji,
kua hawara wa mwenye nyumba na kuacha kulipa kodi.Mwaka wa 3 kabeba mimba na kujifungua akiwa pale pale kwenye ile nyumba na kua Mchepuko wa kudumu wa marehemu bila MKE wa marehemu kujua.
Nnachoomba,
Ndugu zetu waislamu naombeni mlitolee ufafanuzi hili la mtoto au MKE wa nje ya ndoa kutoruhusiwa kurithi mali limekaaje?
Suala Ni Kweli au sio kweli?
Kama Ni kweli,
Nawasihi sana Wanaume mlioozaa na Michepuko, wawezesheni mapema kiuchumi michepuko yenu kwa ajili ya future ya damu zenu
NAWASILISHA