Nimemtoa out kaja na marafiki zake watatu

Nimemtoa out kaja na marafiki zake watatu

Hiyo ndio dawa yao!
Umeitwa pekeako auriziki mpaka umtie mtu shoti ili iweje? Kama aumtaki si useme tu
Sasa ivi mkija wengi tunawakimbia tu!
 
Hii ya kutenganisha bill ndio yenyewe. Ila demu anayekupenda hawezi kuja na timu kama hiyo na hata akija hawezi kuruhusu wenzake mkae nao meza moja. Huyo demu hakupendi au hana akili ya kujitegemea anapelekeshwa na wenzake

Hii pointi mkuu nimeipenda na ni kweli tupu
 
Mkuu kam nakuona ulivyolala usingoz mnono wenyew ndoto za amani.. Ungetumia hizo hela ungeish kwa stress kama wiki 3 na nusu alaf dem bado asieleweke.
 
Pole mwaya sikunyingine uwe muwazi ungewaambia hauko vizuri

Yeye binti aliitwa peke yake akaja na wenzie watatu bila prior notice, nae hakuwa muwazi. Na hata kama alikutana nao hao marafiki mlangoni, kwani ilikuwa lazima wanunuliwe vinywaji na vyakula kwa mfuko wa jamaa?

Kwanini wasingejitegemea kama walikuja wenyewe kwa mambo yao?
Alichofanya mleta mada si sahihi, lakini hao madada wana mambo ya kizamani.
 
mkuu ulikosea kidogo. siku nyingine unatakiwa ulipe bill yako na ya huyo mpenzi wako tu. hao marafiki zake walipe wenyewe. angalizo: kumbuka kumwambia weita mapema atenganishe bill


Uko sahihi mkuu, kuna madada wanaopenda kusifiwa na mashosti kwa visa wanavyowafanyia wanaume kwa kudhani ndio ujanja na kuonekana wako juu, ukiifanya hiyo mbele ya marafiki zake, utakuwa umeua ila inahitaji ukauzu wa hali ya juu sana coz kuna wengine watakaotoa chozi.
 
Mkuu kam nakuona ulivyolala usingoz mnono wenyew ndoto za amani.. Ungetumia hizo hela ungeish kwa stress kama wiki 3 na nusu alaf dem bado asieleweke.

Na maneno juu kuwa vibia na nyamachoma zako ndizo zinazokufanya umsumbue huku anamalizia na misonyo na kukutishia kuwa kama vipi akulipe gharama ulizotumia.
Kama humtaki mtu, tulia umpotezee, sio kutaka kumkomoa.
 
Back
Top Bottom