Nimemtoa out kaja na marafiki zake watatu

Nimemtoa out kaja na marafiki zake watatu

kawaida sana. jiandae ukialika demu. mbona manyumbani kwetu tunapika msosi hadi wa unexpected guests. jipange vizuri. hii ndo bongo.
 
Kama nawaona vilee,walivotumbua mijicho baada ya kuletewa bill.
 
Huyo Dada ni mjanja, alikuwa hamtaki jamaa na alipania kumchuna amkomoe halafu wasimuliane na mashoga zake.

Ni tambia mbaya za wadada sasa kama hamtaki kwanini amlie hela zake? Ndio mana wanafanyiwa kitu mbaya
 
Hii imenikumbusha siku moja nimemuahidi binti mmoja ambae kwa wakati huo nilikua bado sijachana bahasha kusoma barua,tukakubaliana aje,kumbe kapanga kuja na wadogo zake wa kiume wawili,yaani mmoja ni mdigo wake wa kiume na mwinhine ni rafiki ya huyo dogo walikua wanasona form six nadhani.

Basi wakatangulia kufika eneo la tukio ingawa yeye hajaniambia kaja na hao madogo,ile nakaribia kufika namuuliza uko upande gani ananielekeza na kuniambia yuko na wadogo zake,nikaishiwa nguvu gafla.

Nikamuuliza kwa nini kaja nao akadai wako likizo kaamua awatoe,nikamwambia mbona hukunijulisha akasema alijua sitajali,hapo nimerudi pembeni kufikiria niende au nisiende,mwishowe nikaamua kwenda,ingawa nilikua nishamaind sana.

Nikaamua tu kulipia bili zao zote ingawa bili ilikua kubwa maana madogo walikua na uchu na pombe sana ingawa dada yao hanywi.
Kisha wakajiongeza kwamba wanaondoka hivyo nikabaki na dada yao ambae walimuona kesho yake.
 
Una roho ndogo sana. Ukioa kuna siku anakuja mama mkwe hapo na wanae wawili kumuuguza. Si utaacha kununua chakula nyumbani kwako?
By the way kuna wadada wengi tu wanaolipa bill zao bila kutegemea 'shemeji'. Si ajabu walikucheka tu na kukuona mmasai

Sasa king'astiiiiii wamasai wakoje wamekufanyaje mpaka uwa cite kama li ekzampo
 
Ukome kuwaita mademu wapya bar, madukani au sehemu ambayo demu anaweza kukutia adabu... Mademu wa siku hizi hawana kabisa adabu
 
Umenichekeshasana.mwombe tena outing,mwambie this time aje peke yake.kwa akili ya videm uchwara kama hakimtaki mtu huwa kinamtia gharama za style ya aina hiyo ya kuleta kundi ktk dates.

mda huh akiomba itachaguliwa sehemu ambayo ni ya wazi ili ukitoka uonekane vizuri halafu waiter anapewa maagizo ya kuchukua hela mapema pindi mkiagiza
 
Huyo demu hakupendi achana nae kabisa
Sasa kama anakupenda vipi anakuja na jeshi lake? Hapo mtawezaje kuongea mambo yenu mbele ya hilo jeshi?
Ila mkuu umenifurahisha sana kama nakuona vile una escape....hahahaaaaaaa
 
Hii imenikumbusha siku moja nimemuahidi binti mmoja ambae kwa wakati huo nilikua bado sijachana bahasha kusoma barua,tukakubaliana aje,kumbe kapanga kuja na wadogo zake wa kiume wawili,yaani mmoja ni mdigo wake wa kiume na mwinhine ni rafiki ya huyo dogo walikua wanasona form six nadhani.

Basi wakatangulia kufika eneo la tukio ingawa yeye hajaniambia kaja na hao madogo,ile nakaribia kufika namuuliza uko upande gani ananielekeza na kuniambia yuko na wadogo zake,nikaishiwa nguvu gafla.

Nikamuuliza kwa nini kaja nao akadai wako likizo kaamua awatoe,nikamwambia mbona hukunijulisha akasema alijua sitajali,hapo nimerudi pembeni kufikiria niende au nisiende,mwishowe nikaamua kwenda,ingawa nilikua nishamaind sana.

Nkaamua tu kulipia bil zao zote ingawa bil ilikua kubwa maana madogo walkua na uchu na pombe sana ingawa dada yao hanyw.
Kisha wakajiongeza kwamba wanaondoka hvyo nkabak na dada yao ambae walmuona kesho yake

siamin kama kwao alirudi salama! bila mchubuko
 
Back
Top Bottom