Nimemtoa out kaja na marafiki zake watatu

Nimemtoa out kaja na marafiki zake watatu

Mkuu umefanya la maana sana ata ungelipa angekuadithia kakukomoa au mshara wako kala yeye sema wewe mwanajeshi adi bili yako kalipa kingine unamsimamo ofisi moja umemkomalia safi sana
 
Ungelipa yako hafu ungewaambia wewe NDOROBO TU

Ungewaambia umebak na BUKU TU
 
Teh teh kilichoniacha hoi ni wewe kusepa bila hata kulipa bili yako.ESCAPE PLAN noma!
 
Duh! Pole ila acha ukomeshwe kule mamsap hujampa hata kagift ka elf 2 huku unatoa wat outday.
 
Ukimwambia pale pale, kila mtu anywe na ale kwa uwezo wa mfuko wake.
 
jean phillipe beyun

hahahaha ha haaaa! Umenifurahisha na hyo escape from sobibo. Usiwapgope hawa bidada***-uwe jasiri***-ivo ivo kama ulivo-escape....na cku ingne akijitokeza mwingne muachie manyoya. UNENITAMANISHA SANA!
 
Last edited by a moderator:
jean phillipe beyun

Ulichofanya ni kizuri endapo ulilipia zile bia zako tatu. Siku nyingine ufanye vizuri zaidi kwa kuwaambia kuwa una bajeti ya mmoja tu ili hao wengine wafanye maamuzi mapema badala ya kuondoka kama mwizi.
 
Last edited by a moderator:
Ulichofanya ni kizuri endapo ulilipia zile bia zako tatu. Siku nyingine ufanye vizuri zaidi kwa kuwaambia kuwa una bajeti ya mmoja tu ili hao wengine wafanye maamuzi mapema badala ya kuondoka kama mwizi.

Haitakiwi kuwaambia. Kwani hawajitambui??? Alivowaacha solemba hadi na aliyemwita na kuwaachia na bili yake, ndo kafanya poa. Kwa dhana ya haki sawa nao wajipime kama wanaweza kutubeba sisi. MKUKI KWA NGURUWE****-KWA BINADAMU ni nomma!
 
mkuu hiyo safi sana tena naomba wanaume wote tushikamane mwendo ni nduki tu hivi walifikiri wewe ni atm sasa hapo ndo ujue huyo mwanamke sio
 
Ulifanya jambo zuri sana wataenda kuwaambia wenzao wenye tabia kama hizo.big up mura.
 
Bora umekimbia mwanangu maana ungetoka hapo hata ya nauli huna
 
Nimecheka sana aisee!!
...........................
Muraa!! lelo ndelo kwa kweli.. Hiyo escape plan nimeipenda.
....................
Mualike tena mkuu!
 
Back
Top Bottom