Nimemtoa out kaja na marafiki zake watatu

Nimemtoa out kaja na marafiki zake watatu

Ungelipa halafu unachukua chumba umaenda nao wote unawagegeda kwa zamu! LOL!
 
Ungelipa halafu unachukua chumba unaenda nao wote unawagegeda kwa zamu! LOL!
 
Mabint wengne hawajafunzwa kwao kwnye kula 2 ndo wanakuja wote mbna kwnye friend match huwa hawaend wote
 
Nyc comment zote ni tamu ili kama nakuona ulivyokuwa uki escape from sobibo.
 
Hii ya kutenganisha bill ndio yenyewe. Ila demu anayekupenda hawezi kuja na timu kama hiyo na hata akija hawezi kuruhusu wenzake mkae nao meza moja. Huyo demu hakupendi au hana akili ya kujitegemea anapelekeshwa na wenzake
 
jean phillipe beyun

daa!mkuu siku ingne acha sifa ona sasa nimecheka hadi nimevunja mbavu...ila hio ndo dawa yaani unakuta wanakunyw kwa kasi kulko hata ww
 
Last edited by a moderator:
jean phillipe beyun

Mkuu tatizo na wewe muoga sana pale cha kufanya mwisho wa siku ni kuwa ungelipia bill yako na bibie hao wengine ungewapotezea kwa kuwa haukuwa na appointment nao
 
Last edited by a moderator:
yaani huyo dem hakupend.,..alafu ungekula na kongoro,nyama choma alafu uescape.....c wanataka haki sawa sasa ndo wangejua how its pain nyambafu
 
Back
Top Bottom