Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Hutakiwi kuchunguza sana kompyuta ya mkeo. Koma kabisa.
inategemea na mtu, else sioni ubaya, but the consequences...
Hutakiwi kuchunguza sana kompyuta ya mkeo. Koma kabisa.
sina uhakika sana kuhusu hilo. Hawezi kunitegea kwakuwa alikuwa hajui kuwa nitatumia pc yake.
inategemea na mtu, else sioni ubaya, but the consequences...
ngoja nimpotezee kiaina. Naona ataninyima uhuru wa kujitupa hapa jf.
Lakini hazifanani.....Ndiyo maana akamshauri akome,sababu consequences zinajulikana...hard to bite!
hahaha.luck u are! Hebu nenda mmu ukasome post zake kabla hajabadili pw
halafu panda juu kwenye politics forum ndo utazimia kujua yeye ndo CDM Dam dam against yu Mr Magamba
Kwa hiyo hii poost ataisoma? Kama ataisoma si atajua kuwa ni wewe? eti ulitaka kumotongoza......! ni kweli wanaku-cameroon? Kweli JF ni noma