Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Mazee mengine mapumbafu sana,sasa hili linatunga story then ,unapost huku ,peleka huko radio uhuru wafanye morning talks,jinga sana hili zee!
Usiku huu nimechukua Pc ya mke wangu ila walau ni log in Jf. Kumbe na yeye ni member ya jf, alisahau kulog off.
Huwa tuna chati sana kwenye pm, na nilishajipanga kumtongoza. Kweli mungu ananipenda.
Nimeingia kwenye pm zake, sijakuta pm chafu. Kweli mke wangu ni mwaminifu. Mungu ambariki.
Imenibidi nimrudishie pc yake.
nimeshamrudishia pc yake. Ila nilipitia pm zote. Zilikuwa kama 30 hizi. Jana alipokea pm mbili. Zote zilikuwa ni salaam tu ndg.