Nimemstukia mke wangu...

usiku huu nimechukua pc ya mke wangu ila walau ni log in jf. Kumbe na yeye ni member ya jf, alisahau kulog off.

Huwa tuna chati sana kwenye pm, na nilishajipanga kumtongoza. Kweli mungu ananipenda.

Nimeingia kwenye pm zake, sijakuta pm chafu. Kweli mke wangu ni mwaminifu. Mungu ambariki.

Imenibidi nimrudishie pc yake.

malaya siku zote aogopi kuficha aibu yake yaani binafsi nakucheka unaoaje alafu bado unataka nye@2 za nje jamani si mkae mmalize kwanza ndio muoe
 
UKILALAMIKA KWA MOD MUULIZE WATU HAWA

Huwa tuna chati sana kwenye pm, na nilishajipanga kumtongoza. Kweli mungu ananipenda

WANAITWAJE???

AKIKUFICHA NI PM

TENA HUNA ADABU WE UNAFIKIRI KUANZIA 2007 ATUJAWAONA WATOTO'S WA JF HUMU NDANI SI KWAMBA ZIPU ZIMEBANA TUNAHESHIMU NDOA ZETU KIDUMU CHAMA CHA WAVUA NGUO USIKU ///NYIE WA MCHANA SIJUI MNAITAJE CHAMA CHENU
 
UKILALAMIKA KWA MOD MUULIZE WATU HAWA

Huwa tuna chati sana kwenye pm, na nilishajipanga kumtongoza. Kweli mungu ananipenda

WANAITWAJE???

AKIKUFICHA NI PM

TENA HUNA ADABU WE UNAFIKIRI KUANZIA 2007 ATUJAWAONA WATOTO'S WA JF HUMU NDANI SI KWAMBA ZIPU ZIMEBANA TUNAHESHIMU NDOA ZETU KIDUMU CHAMA CHA WAVUA NGUO USIKU ///NYIE WA MCHANA SIJUI MNAITAJE CHAMA CHENU

mkuu mbona una hasira sana. Shetani alikuwa na mpango wa kuniteka ila ameshindwa.
 
Si mwenyewe umesema ulikua unajiandaa kumtongoza . . . .au huo ndio uaminifu wa kisasa?

ndio maana nasema iliku itokee bahati mbaya. Mungu ananipenda sana.
 
Usiku huu nimechukua Pc ya mke wangu ila walau ni log in Jf. Kumbe na yeye ni member ya jf, alisahau kulog off.

Huwa tuna chati sana kwenye pm, na nilishajipanga kumtongoza. Kweli mungu ananipenda.

Nimeingia kwenye pm zake, sijakuta pm chafu. Kweli mke wangu ni mwaminifu. Mungu ambariki.

Imenibidi nimrudishie pc yake.
unapenda sana sifa sasa thread gani hii kutuchafulia tu jukwaa ... no one can buy this hu ni uongo wa hali ya juu
 
Usiku huu nimechukua Pc ya mke wangu ila walau ni log in Jf. Kumbe na yeye ni member ya jf, alisahau kulog off.

Huwa tuna chati sana kwenye pm, na nilishajipanga kumtongoza. Kweli mungu ananipenda.

Nimeingia kwenye pm zake, sijakuta pm chafu. Kweli mke wangu ni mwaminifu. Mungu ambariki.

Imenibidi nimrudishie pc yake.

Unaniboa sana wewe "Mambo yenu ya Radio Uhuru ya kubadilishana PC huko huko Lumumba sio hapa!!!"
 
Kwa hiyo hii poost ataisoma? Kama ataisoma si atajua kuwa ni wewe? eti ulitaka kumotongoza......! ni kweli wanaku-cameroon? Kweli JF ni noma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom