Mashauzi tu hayo!
Huna lolote..au ulitaka tujue mkeo ana PC yake home nawe una yako?
usiku huu nimechukua pc ya mke wangu ila walau ni log in jf. Kumbe na yeye ni member ya jf, alisahau kulog off.
Huwa tuna chati sana kwenye pm, na nilishajipanga kumtongoza. Kweli mungu ananipenda.
Nimeingia kwenye pm zake, sijakuta pm chafu. Kweli mke wangu ni mwaminifu. Mungu ambariki.
Imenibidi nimrudishie pc yake.
UKILALAMIKA KWA MOD MUULIZE WATU HAWA
Huwa tuna chati sana kwenye pm, na nilishajipanga kumtongoza. Kweli mungu ananipenda
WANAITWAJE???
AKIKUFICHA NI PM
TENA HUNA ADABU WE UNAFIKIRI KUANZIA 2007 ATUJAWAONA WATOTO'S WA JF HUMU NDANI SI KWAMBA ZIPU ZIMEBANA TUNAHESHIMU NDOA ZETU KIDUMU CHAMA CHA WAVUA NGUO USIKU ///NYIE WA MCHANA SIJUI MNAITAJE CHAMA CHENU
kwanini unanihukumu dada Lizy?. Huwa nakosa uaminifu kwa bahati mbaya.
ndio maana nasema iliku itokee bahati mbaya. Mungu ananipenda sana.
unapenda sana sifa sasa thread gani hii kutuchafulia tu jukwaa ... no one can buy this hu ni uongo wa hali ya juuUsiku huu nimechukua Pc ya mke wangu ila walau ni log in Jf. Kumbe na yeye ni member ya jf, alisahau kulog off.
Huwa tuna chati sana kwenye pm, na nilishajipanga kumtongoza. Kweli mungu ananipenda.
Nimeingia kwenye pm zake, sijakuta pm chafu. Kweli mke wangu ni mwaminifu. Mungu ambariki.
Imenibidi nimrudishie pc yake.
Usiku huu nimechukua Pc ya mke wangu ila walau ni log in Jf. Kumbe na yeye ni member ya jf, alisahau kulog off.
Huwa tuna chati sana kwenye pm, na nilishajipanga kumtongoza. Kweli mungu ananipenda.
Nimeingia kwenye pm zake, sijakuta pm chafu. Kweli mke wangu ni mwaminifu. Mungu ambariki.
Imenibidi nimrudishie pc yake.
Unaniboa sana wewe "Mambo yenu ya Radio Uhuru ya kubadilishana PC huko huko Lumumba sio hapa!!!"
Hutakiwi kuchunguza sana kompyuta ya mkeo. Koma kabisa.