Bado hamjagundua kwa Nini waislam hawajichanganyi na wanawake?Habari za Jumapili wapendwa..
Leo nimeenda kanisani kama kawaida yangu, ikabidi nikae siti za kati kati kabisa ya kanisa. Sasa sisters wa kanisa wawili wakaja wakaketi sit ya mbele yangu, Ibada ikaanza.
Sio kwamba nilikuwa sifatilizi ibada, lakini unaweza ukawa hata umesimama barabarani magari yanapita huyashangai. Ila kuna gari moja linaweza pita ukajikuta umeanza kulitazama hadi likatokomea.
Kwenye ibada kuna kusimama, kupiga magoti, na kukaa.
Yule sister bhana kwenye kukaa, anaangalia sehem anapoketi (kwenye dawati) anavuta nguo yake kwa heshima anaketi. (Mda huo akiwa anafanya hivyo hadi na kasura kake unakaona [nusu face] anapovuta nguo yake ili aketi)
Mh nikajikuta nimemtazama (Mungu asikunyime macho. Macho yanatazama vizuri na vibaya). Kizuri kisifie …yule sister bhana ni mzuri. Ni mzuri wote kwa muonekano hadi anavyo jishugulisha na ibada.
Kijana wa watu nikapotelewa na utulivu wa ibada, nikajikuta kila anaporudi kukaa, nikawa nayaruhusu macho yafurahie uzuri na ustaarabu wa yule sister.
Najua wanaume tukipendaga kitu kuanzia tunapo kiangalia huwa tuna tabia ya kukifikisha kwenye ubongo na ubongo kukipangilia kitu hicho kinastahili vipi, yani kama ni kiwanja tunaonaga hadi nyumba imekamilika na kuisha.
Ibada ikaendelea tukamaliza salama. Wakati natoka nje, sister naye akawa amefika zam yake akanifuata nyuma, tukatoka nje.
Wakati tunashuka ngazi za nje ya kanisa kuna mama gauni lake kilikuwa refu linaburuza chini, nikajikuta nimelikanyaga.
Ile naelekea kuanguka kwenda chini. Paap! Nikasikia mtu amenidaka mkono kuzuia nisianguke.
Kutazama nyuma ni sister.
Mama mwenye gauni refu: Samahani kijana poleh!
Mimi: Asante ….. Samahani mama.
Sister: Taratibu kijana poleh
Mimi: Asante sana Sister
Sister: Uwe na Amani.
Sister akaniachia mkono, nikageuka vizuri nimtazame huku nikimjibu Amen sister.
Yule sister ni mzuri nyie.
Sister akanyoosha mkono kuelekeza njia..haya twende 🫱
HIVI KUMPENDA SISTER NI DHAMBI?
Ukitaka kujua hivyo niambie nabii gani alikua na mke mmojaNi nini kinafanyaga sasa mmiliki mke zaidi ya moja
Mnakwepa vishawishi kwa kukaa wanaume upande wao na wanawake upande wao. Ila mnaongeza mke sababu ya ngono.. ili yule siku hatoi uwende ukapapachue kwa mwenza
We uwongo msimulei mamako siyo huku kwa watu wenye akili maana huyo mama ndiyo kazaa lijitu lipuuzi km wewe tayari ana hasara ingawa sijajua ni kiasi gani. ShwainHabari za Jumapili wapendwa..
Leo nimeenda kanisani kama kawaida yangu, ikabidi nikae siti za kati kati kabisa ya kanisa. Sasa sisters wa kanisa wawili wakaja wakaketi sit ya mbele yangu, Ibada ikaanza.
Sio kwamba nilikuwa sifatilizi ibada, lakini unaweza ukawa hata umesimama barabarani magari yanapita huyashangai. Ila kuna gari moja linaweza pita ukajikuta umeanza kulitazama hadi likatokomea.
Kwenye ibada kuna kusimama, kupiga magoti, na kukaa.
Yule sister bhana kwenye kukaa, anaangalia sehem anapoketi (kwenye dawati) anavuta nguo yake kwa heshima anaketi. (Mda huo akiwa anafanya hivyo hadi na kasura kake unakaona [nusu face] anapovuta nguo yake ili aketi)
Mh nikajikuta nimemtazama (Mungu asikunyime macho. Macho yanatazama vizuri na vibaya). Kizuri kisifie …yule sister bhana ni mzuri. Ni mzuri wote kwa muonekano hadi anavyo jishugulisha na ibada.
Kijana wa watu nikapotelewa na utulivu wa ibada, nikajikuta kila anaporudi kukaa, nikawa nayaruhusu macho yafurahie uzuri na ustaarabu wa yule sister.
Najua wanaume tukipendaga kitu kuanzia tunapo kiangalia huwa tuna tabia ya kukifikisha kwenye ubongo na ubongo kukipangilia kitu hicho kinastahili vipi, yani kama ni kiwanja tunaonaga hadi nyumba imekamilika na kuisha.
Ibada ikaendelea tukamaliza salama. Wakati natoka nje, sister naye akawa amefika zam yake akanifuata nyuma, tukatoka nje.
Wakati tunashuka ngazi za nje ya kanisa kuna mama gauni lake kilikuwa refu linaburuza chini, nikajikuta nimelikanyaga.
Ile naelekea kuanguka kwenda chini. Paap! Nikasikia mtu amenidaka mkono kuzuia nisianguke.
Kutazama nyuma ni sister.
Mama mwenye gauni refu: Samahani kijana poleh!
Mimi: Asante ….. Samahani mama.
Sister: Taratibu kijana poleh
Mimi: Asante sana Sister
Sister: Uwe na Amani.
Sister akaniachia mkono, nikageuka vizuri nimtazame huku nikimjibu Amen sister.
Yule sister ni mzuri nyie.
Sister akanyoosha mkono kuelekeza njia..haya twende 🫱
HIVI KUMPENDA SISTER NI DHAMBI?
Umeongea kikamanda ZaidMtongoze.
Mimi kwa manhood testosterone nilizonazo, mwanamke yoyote anaenivutia na nikapata nafasi namtongoza.
Bora anikatae kuliko kutokumtongoza. Najisikia mwenye hatia sana kama sijamtongoza kuliko kitu chochote.
Kutongoza ni natural job description ya mwanaume.
Mwalimu wangu mkuu nijogoo, yeye atafukiza jike, haijalishi atalipata ama hapati ila ametimiza wajibu wake wa kutongoza. Akikosa alikua anafanya mazoezi akipata anapata raha Duniani.
Mtoto wa kiume inabidi uone aibu zaidi kwa kutokutumiza wajibu wako kuliko kutimiza halafu ukakataliwa, wewe timiza wajibu wako wa asili, tongoza.



Wahuni Kama kawaida yenu

Uislam itumia sayansi zuri sana hii, yakuwatenganesha mwanaume na wakike, ilikua inatakiwa kuigwa na dini zingine.?
Masha'AllahNimeeanza kuamini kwamba Dini ya uislamu ni ya haki na kweli. Miaka 1400 waliliona kwamba sio vizuri kukalisha wanawake na wana umme sehemu moja wakati wa ibada.
Sio udini kasema haki kasema ilichokisema dini ya Kiislam miaka 1400 ulopitaUdini, udini, udini, what the hell bullshit is this in the homosapiens brain?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Huujui Uislam kaka bora nyamaza au isome vizuri dini ya Kiislam. Katika dini iliyomtukuza m'ke ni dini ya KiislamNi moja kati ya dini iliyofeli na kuonyesha ubaguzi mkubwa sana dhidi ya mama na dada zetu,mwanamke ni kiumbe duni sana katika hiyo dini,wala sio dini ya kuigwa kwa mwanadamu anayejielewa.
Nimecheka 🤣🤣🤣Mtongoze.
Mimi kwa manhood testosterone nilizonazo, mwanamke yoyote anaenivutia na nikapata nafasi namtongoza.
Bora anikatae kuliko kutokumtongoza. Najisikia mwenye hatia sana kama sijamtongoza kuliko kitu chochote.
Kutongoza ni natural job description ya mwanaume.
Mwalimu wangu mkuu ni 🐓 jogoo, yeye atafukiza jike, haijalishi atalipata ama hapati ila ametimiza wajibu wake wa kutongoza. Akikosa alikua anafanya mazoezi akipata anapata raha Duniani.
Mtoto wa kiume inabidi uone aibu zaidi kwa kutokutumiza wajibu wako kuliko kutimiza halafu ukakataliwa, wewe timiza wajibu wako wa asili, tongoza.
Anatembea huku akili zote kwa sister.Sasa unakanyaga gauni la mtu kwa nyuma badala yeye ndio aanguke unaanguka wewe? Acha kula urojo.


