Ukiwa na pochi yenye afya mkuu wala huhitaji rangi nyeupe kichwani, mazali ya kumwaga tu.Wakati huku vijana tunapelekesha huku vidigi vinakula Zari la mentali. Kuna dalili za kuweka rangi nyeupe kichwani kupata Zari za kupendwa.[emoji12] [emoji6]
Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mungu anakuona ujueBaba anapesa na ni good looking kuliko mtoto.
Nmesema kuna wanawake mkuu.. sio wote lkn..[emoji3]Umeanza vizuriiii ila ulivyomalizia!!
Utakapomchana dogo kwamba umetokea kumuelewa mzee kuliko yeye alafu mzee akakutolea nje ndo utakapozalilikaHabari za J5 wapendwa
Huyu kijana tulifahamiana miaka miwili iliyopita, wiki iliyopita alinikaribisha nyumbani kwao nikamuone baba yake. Nimefika nyumbani baba alituandalia vizuri sana, baba anaishi peke yake na chakula aliomba kipikwe na caterer. Nimevutiwa Zaidi na ucheshi wa baba kuliko huyu rafiki yangu sasa jinsi ya kuswitch hapa ni shughuli.
Huyu rafiki yangu alizaliwa wakati baba yake akiwa mwanafunzi, na baba aliendelea na shule mtoto akiwa kwa mama yake. Miaka mingi ilipita mpaka baba kumaliza elimu, mama alishaolewa hivyo rafiki yangu alikuja kulelewa na baba akiwa teenager, baba alikuja kuoa lakini mke alishatangulia mbele za haki. Baba na mtoto wamepishana umri kama miaka 20 hivi, na baba ni wa kileo kiaina sasa hapa niko njia ya panda, kuwapotezea wote maana yake huyu rafiki yangu hatanielewa akisikia niko na mdingi wake.
Huyu rafiki hatujafikia kula tunda la katikati, lakini kwa mzee nimeishiwa kabisa. Ushauri jamani.
Wewe si ndio unafumuliwa mtaro wakoJe huyo ndiyo anayekubandua Mkuu?
Ninapotea katika uso wa dunia yao, na nikikutana na mmoja wao ninakauka, hata akiita Sky, ninamkazia macho unamwita nani?Utakapomchana dogo kwamba umetokea kumuelewa mzee kuliko yeye alafu mzee akakutolea nje ndo utakapozalilika
Tomato tomito aka nyanya chunguPunguani Wahed Bashite mkubwa Weye.
Tomato tomito aka nyanya chungu
Kitumbua cha wanakijiji
Ni wewe mamii......?Matatizo kijana ananipenda na nitaanza vipi kumfahamisha kuwa majeshi yamegeuza mwelekeo?
Loh viumbe nyie ..mna roho za ajabbaba kama anapesa jiweke kwake loh
Kabisa mae...Tena nikimhimiza kufanya jogging kila siku tunaweza kuvuta vuta miaka kidogo.