nia yako sio kutuonesha mazoezi, ni kumdhalilisha tu!, mbona hukuweka hizo alizokua amevaa tu?? We ni fisadi mwathilika wa picha za uchi!
Mkuu kwani yanaliwa hayo kama chakula mpaka udateee!me mafi mafi hayo ndo huwa nadata.......................
Huyu m-dada ni mojawapo wa kuwa mifano ya kuigwa!!Wanawake wengi hawapendi kufanya mazoezi hata kujinyoosha kwao ni tabu!Unaweza kujiweka freshi hata ukiwa chumbani mwako.Nadhani ndio maana ana shepu inayovutia wanaume wengi!!Maksi zangu za juu amepata,mpeni zenu wadau
View attachment 24426View attachment 24425View attachment 24424View attachment 24423View attachment 24422View attachment 24421