Kubwjing
JF-Expert Member
- Aug 2, 2025
- 2,911
- 5,238
🤣🤣🤣🤣🤣Furushi.
🤣🤣🤣🤣🤣Furushi.
Sacrifice inahitajika ila aache upuuziKitu huyo mwl hajui kuwa kulala na mwanafunzi wako ni dhambi. Pili inaleta doa kwa chuo. Wengine wa mabinti wa chuo ni under 18, hivyo miaka 30 inamnyemelea. Best option ni kuikwangua tu
Demu ndo chiz...sasa sjijaua wa huyo ticha yukojeNdio maana nikamwambia kama ana uhakika demu anampenda kweli basi atumie njia hii, hapo ni kumlainisha kwa maneno matamu na malengo makali.
Halafu demu akikubali, jamaa ajitahidi kutembea kwenye maneno yake.
Kwa huyo padri, usikute ni aidha mshikaji hakumpanga demu vizuri, au baada ya kumpanga mshikaji akaanza kuzingua.. ama alikuwa anadate mwendawazimu, kuna mademu wengine ni vichaa, vichwa vyao ni vibovu hatari
ndo makubaliano sasa nayoongelea, mfano mnaweza kubaliana utastep in ila acheze chiniSahihi makubaliano muhimu ila issue KAZI lazima ipoteee
Kama umempa mwambie airudishe uibebe mwenywMbaya zaidi ni Mwalimu wa chuo cha kati na mwanafunzi ni wa chuo cha kati,
Natamani nimwambie atoe kwasababu wazazi wake wakijua watakuja chuo na wakija basi sijui kama ntakuwa na KAZI tena
Wakuu naombeni ushauri nitumie njia Gani kuepuka hii hali wazo langu nifanye atoe mimba TU
Vipi kuhusu nyinyi??
Ahsante
Kama umempa mwambie airudishe uibebe mwenywMbaya zaidi ni Mwalimu wa chuo cha kati na mwanafunzi ni wa chuo cha kati,
Natamani nimwambie atoe kwasababu wazazi wake wakijua watakuja chuo na wakija basi sijui kama ntakuwa na KAZI tena
Wakuu naombeni ushauri nitumie njia Gani kuepuka hii hali wazo langu nifanye atoe mimba TU
Vipi kuhusu nyinyi??
Ahsante
Abortion ni mauaji!
Wahi kituo cha polisi mwenyewe kabla hujakuja kukamatwaMbaya zaidi ni Mwalimu wa chuo cha kati na mwanafunzi ni wa chuo cha kati,
Natamani nimwambie atoe kwasababu wazazi wake wakijua watakuja chuo na wakija basi sijui kama ntakuwa na KAZI tena
Wakuu naombeni ushauri nitumie njia Gani kuepuka hii hali wazo langu nifanye atoe mimba TU
Vipi kuhusu nyinyi??
Ahsante