Nimempa mimba mwanafunzi, natamani kuitoa

Nimempa mimba mwanafunzi, natamani kuitoa

Ndio inatakiwa a postpone ila issue wazazi wake lazima waje na wakijua ni mimi Mwalimu automatic nimeharibu icon ya chuo so nahisi ajira hakuna tena
Ndo maana mi nasisitiza hapo karata muhimu ni wewe kuongea vizuri na huyo bidada
 
Hivi eti daktari kabla hajatoa mimba Huwa wanaichapa k kwanza?
 
Mbaya zaidi ni Mwalimu wa chuo cha kati na mwanafunzi ni wa chuo cha kati,

Natamani nimwambie atoe kwasababu wazazi wake wakijua watakuja chuo na wakija basi sijui kama ntakuwa na KAZI tena

Wakuu naombeni ushauri nitumie njia Gani kuepuka hii hali wazo langu nifanye atoe mimba TU

Vipi kuhusu nyinyi??
Ahsante
Pole sana brother
Fanya yote ila asitoe mimba, unaweza kupata consequences kuliko hizo unazozikimbia, assume akableed mpaka akafa, huo msala utauweza..?

mwambie asingizie mtu yeyote wa mkoa wa mbali, maana si lazima aliyempa mimba awe wa maeneo hayo, then wewe chini kwa chini utakua unalea
 
Imenikumbusha story flan. Kuna mshkaji alipitia ile crush program ya ualimu miaka ile 2000s mwanzoni akaenda kufundisha sec school moja kisarawe kama sikosei basi huku na huku akampa mimba mtoto wa f2 ikawa msala inabidi akimbie ajira kuepuka nyundo 30yrs. Toka wakati huo hajakuwa sawa juzi juzi naskia alifariki mwaka jana.
 
Unaenda kulombewa kwanza
Hahaha 🤣
Pole sana brother
Fanya yote ila asitoe mimba, unaweza kupata consequences kuliko hizo unazozikimbia, assume akableed mpaka akafa, huo msala utauweza..?

mwambie asingizie mtu yeyote wa mkoa wa mbali, maana si lazima aliyempa mimba awe wa maeneo hayo, then wewe chini kwa chini utakua unalea
Nondo sana hii kaka nitafanya hivi kaka haina shida
 
Kabla wazazi hawajaja hapo wawai wao, kajitambulishe maliza kesho, ila sasa kama ndiyo ulikuwa unapita tu hilo balaa
 
Daaah hili nalo neno

Nikitoa Mahari kaka inawezekana kuwa protective mechanism kwangu juu ya hiki kibarua?
Inawezekana 100% unless awe under age vyuoni hakuna we fata process zote kajitambulishe it's not big deal
 
Mkuu nilikuwa sipiti binti anajitambua sana tu kwaiyo niwawai wazazi sindio kabla hawajaja chuoni sindio?
Sema hilo la binti kujitambua unatupiga, acha nyege mshindo dogo!

Angekuwa anajitambua asingeileta siku za hatari uichape.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom