Nimempa mimba mwanafunzi, natamani kuitoa

Nimempa mimba mwanafunzi, natamani kuitoa

Mbaya zaidi ni Mwalimu wa chuo cha kati na mwanafunzi ni wa chuo cha kati,

Natamani nimwambie atoe kwasababu wazazi wake wakijua watakuja chuo na wakija basi sijui kama ntakuwa na KAZI tena

Wakuu naombeni ushauri nitumie njia Gani kuepuka hii hali wazo langu nifanye atoe mimba TU

Vipi kuhusu nyinyi??
Ahsante

Mungu atusaidie, shetani huna anakubuta uendelee kufanya makosa ili uharibiwe kabisa, control mapema kwa kuwaona wazazi wake na uweke msimamo wako
 
Hebu kaa chini ongea nae mtapata ufumbuzi..
Kama anakupenda kweli ongea nae, ni kweli upo pamoja nae na mimba utalea..
Cha kufanya kwao mdanye MABONYE.
ongea na mwanao wa daaamu kabisa, muelezee situation, kisha yeye ndio atajwe kama mwenye mimba, ila wewe ndio utakuwa unahudumia fresh.
Ishatokea mtaan jamaa alikuwa anasomea upadr ...kashafikia stag ya kuvalishwa na mkanda ...akajaza mtt wa watu mimba...kachukua msela ajifanye ndo baba mtot ili mambo yakikaa sawa atakuja awafungulie biashara....saaa ngap bint hajaeneza mtaan kuwa ile mimba si ya msela ni ya shemasi....ndoto za jamaa zikaishia hapo akaishia kunywa pombe+ sonona....ponapona yake akajitokeza padr kampeleka ulaya huko atleast sasa hiv karudi kweny hali ya kawaida...hapa naona pia kama huyo bint hana siri atajakichafua tu kumwaribia jamaa
 
Ishatokea mtaan jamaa alikuwa anasomea upadr ...kashafikia stag ya kuvalishwa na mkanda ...akajaza mtt wa watu mimba...kachukua msela ajifanye ndo baba mtot ili mambo yakikaa sawa atakuja awafungulie biashara....saaa ngap bint hajaeneza mtaan kuwa ile mimba si ya msela ni ya shemasi....ndoto za jamaa zikaishia hapo akaishia kunywa pombe+ sonona....ponapona yake akajitokeza padr kampeleka ulaya huko atleast sasa hiv karudi kweny hali ya kawaida...hapa naona pia kama huyo bint hana siri atajakichafua tu kumwaribia jamaa
Ndio maana nikamwambia kama ana uhakika demu anampenda kweli basi atumie njia hii, hapo ni kumlainisha kwa maneno matamu na malengo makali.
Halafu demu akikubali, jamaa ajitahidi kutembea kwenye maneno yake.

Kwa huyo padri, usikute ni aidha mshikaji hakumpanga demu vizuri, au baada ya kumpanga mshikaji akaanza kuzingua.. ama alikuwa anadate mwendawazimu, kuna mademu wengine ni vichaa, vichwa vyao ni vibovu hatari
 

Wanawake na siri wapi nawapi 😀,unaweza kumpnga asikutaje akipata kawivu kidogo tu anachomoa betri ila jaribu au tafuta mtu mzima aende kwao aongee na wazazi na uahidi kumtunza na kumuoa ikiwezekana lipa na kishika uchumba kabisa km waelewa wataelewa
 
Daaah hili nalo neno

Nikitoa Mahari kaka inawezekana kuwa protective mechanism kwangu juu ya hiki kibarua?
Usiingir dhambi ya kutoa mimba.
Nenda kwa wazazi wa mwanamke katangaze kuuoa, waombe wasubiri binti amalize chuo ndioo utaoa.
Waeleze taratibu za chuo kikijua utafukuzwa kazi, hivyo utakosa namna ya kumhudumia mkeo na mtoto hivyo wafanye siri hadi amalize chuo.
Zingatia kutoa huduma zote muhimu na kuwa karibu na huyo mwanamke na familia yake.
 
Mbaya zaidi ni Mwalimu wa chuo cha kati na mwanafunzi ni wa chuo cha kati,

Natamani nimwambie atoe kwasababu wazazi wake wakijua watakuja chuo na wakija basi sijui kama ntakuwa na KAZI tena

Wakuu naombeni ushauri nitumie njia Gani kuepuka hii hali wazo langu nifanye atoe mimba TU

Vipi kuhusu nyinyi??
Ahsante
Mallerina na Mbaga Jr
 
We kivyovyote ongea vizuri na huyo dada, Sijui utaratibu upoje huko vyuo vya kati kwa akipata mimba atasimamishwa masomo?
Hivyo vyuo unasimamishwa, pale dom DC college Kuna madogo walipeana mimba wakatimuliwa wote, Sheria za kijinga sana
 
Mbaya zaidi ni Mwalimu wa chuo cha kati na mwanafunzi ni wa chuo cha kati,

Natamani nimwambie atoe kwasababu wazazi wake wakijua watakuja chuo na wakija basi sijui kama ntakuwa na KAZI tena

Wakuu naombeni ushauri nitumie njia Gani kuepuka hii hali wazo langu nifanye atoe mimba TU

Vipi kuhusu nyinyi??
Ahsante
Jiandae kwenda kushikwa Makalio yako Jela ambapo ukifanya Mzaha unaweza kupakwa Mafuta vile vile Unyabengani kwako na Masela ukiwa huko.
 
Ati aende kwa mzazi wayaongee! Na imagine ni Binti yangu na anakuja kwangu!!! Sijui
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom