Ipo siku TU
Member
- Nov 26, 2025
- 38
- 92
- Thread starter
- #21
Kaka tatizo nahisi ntakosa ajira kama itajulikana kuwa ni mimi nimempa mimba mkuu wa chuo hawezi kuniacha SalamaHuyo sio mwanafunxi, huyo ni mwanachuo.. mie nikajua ni wale wa 5×6.
Mzeebacha ufala, wqkati unampiga pumbu ulikuwa unajua consequences zake.
Be responsible, fanya uJENNTOLAN.
lea mimba,
Unataka kuwa baba wa MAREHEMU?