Nimemnunulia Vitz hataki anataka Klugger

Nimemnunulia Vitz hataki anataka Klugger

Bora ungeandika sentensi yote kiswahili tu... Dah
MESTODYaani ndicho pekee ulicho kiona! ...typing error nalo ni jambo la kujadili kweli tumepoza dira.

Hata hivyo bado nipo kwa ras simba...mkuu
 
Last edited by a moderator:
Shida ni kwamba ulimtongoza kwa kutumia hiyo KLUGER ndio akaingia mazima. Ulitakiwa wakati unaenda kumtongoza wende na bajaza au boda boda halafu ndio umpandishe hadhi kwa kumnunulia VITZ! Sasa mtu kaanza na KLUGER halafu unampeleka katika VITZ huoni kama unamshusha hadhi?
 
Ukishampa kluger baada ya mwezi atakuomba evoque... ah kifupi sijui mlianzaje. pole na vema kumvumilia anaweza kuwa bora kuliko mwingine utakaempata!!!
 
Siamini mchumba tu anaanza kukupangia,amekuona ndina mkuu,mwambie apande daladala
 
Jikaze ununue.Mbona haukutushirikisha kwenye vitz?
 
na hapo hajawa mke?woii,akiwa atataka na roho yako kabisa
 
Mh!!! iyo Vitz uliomba ushauri kwa nani,rudi kulekule wakushauri tena ikiwezekana jiuze na wewe mwenyewe umpatie hela aishi vzuri mjini. Mahaba niue .
 
Hapana, wala sikurudia kwa sababu hiyo.

Kurudia kwangu huko ni kuzingua tu.

Hivyo umekosea kabisa kudhani nimerudia ili kuonyesha msisitizo.

Kusadiki mambo siyo vizuri. Ni heri ukauliza kwanza.


Basi wacha niulize baadae manake umeshatoa jibu.
 
Back
Top Bottom