Nimemnunulia Vitz hataki anataka Klugger

Nimemnunulia Vitz hataki anataka Klugger

Rudisha Vitz kamnunulie kiSANLG apigie route kitaa...
 
Eti ndo mana sitaoa mwanamke maskiin
Nimecheka mpaka bac
 
Hebu tuache na chai zetu......

Kwanza kapaki ki-passo chako...tuache na ma-klugger yetu

Teh Teh sio ki-passo
Ni li-range aina ya phoenix
e3570eca0a691e8990bbab18eb6b8de5.jpg
 
Mmmmh!! Kwani we unaonaje? Maana ni mchumba wako na magari ni yako pia, we ndio waishi nae wamjua vyema kuliko sisi, kwani ulimshirikisha kabla hujamnunulia hilo gari?? mayb hapendi vitz, kaa nae ongea nae muulize sababu ya yeye kutaka hilo gari lako, then we mtu mzima bwana utajua kuchuja jema na baya.
Hivi mtani mimi na wewe tuligombana? Hebu niambie ni kuletee vitaz au Range ili ugomvi watu uishe?
 
Wazazi wako wanatembelea usafiri gani?.. kama hawana, wape wazee watembee kukaa, huyo muache aendelee kuchagua tu.
 
Jamani yamenikuta! Fiance wangu nimemnunulia Vitz mpya hataki anataka nimpe Klugger yangu mi ndo nichukue Vitz.

Ana mapenzi ya dhati kweli huyu?

Hana! Mnunulie bajaji
 
we boya kweli, yaani mtu umekutana naye ukubwani nywele zishakuota kila eneo then akusumbue akili
 
Mpee tena kichange umuongezee na Range au Prado la Daimond!!
Anakupenda huyo!!
 
Back
Top Bottom