kutembelea matako siyo tatizo tatizo ni anachagua kikalio loh .. huku anauwezo wa kukinunua mwenyeweTeh teh teeeeh ushauri mzuri ila mbovu, kuanza kusaka mwingine sio rahisi mwache mwanamke mwenzio atembelee matako.
asante shemejishemeji hapo ndipo ninapokukubali
hya ha haha umewaza nini?Mnunulie bvr awe anajipiga selfie
Muache fredericko na mapenzi ya kinaalehandro Besti.
Wewe unamnunulia fiance gari? Mkuu utakuja kulia au kuua mtu siku moja au utajinyonga. Gari ananunuliwa mke bana.
Nataka nikununulie Toyota murano
hivi sisi wanaume tumelogwa? na nani?....gari zako ,,,demu wako....vyote wewe ndo umevitafuta.......maliza shughuli kimya kimya mangi....
watch out usife ----,,there are so many pretty ladies out there,,mimi sheria yangu no 1 sidate demu maskini,,,
Huo ndo ushauri gani sasa wewe unaweza??kama ujablock na namba yake!unamwita nani? kamanimesikia vibaya fianceee? aisee fanya hivi hiyo vitz weka hapa tununue halafu piga chini hiyo kimeo.. itakusumbua sana aiseee ....
naweza kufanya hivyo ... lakini pia siwezi mnunulia mchumba kitu kinachozidi laki moja never on earth..... ukileta ujinga ujinga nakublockHuo ndo ushauri gani sasa wewe unaweza??kama ujablock na namba yake!
Hahahah... daah ww jamaa nimejikuta nipo interest nawewe...
manake huo ndo mpango wangu pia
Jamani yamenikuta! Fiance wangu nimemnunulia Vitz mpya hataki anataka nimpe Klugger yangu mi ndo nichukue Vitz.
Ana mapenzi ya dhati kweli huyu?