Nimemnunulia Vitz hataki anataka Klugger

Nimemnunulia Vitz hataki anataka Klugger

ndo mana mnaitwa wanaume wa Dar
maana mada zenu hazina hata uzito.....

you need Jesus Christ
 
daaah watu wengine bhana unamnunulia mchumba gari ????utakuja kulia siku moja na kusaga meno. wanawake hawaeleweki wapo kama kinyonga funguka acha umbulula
 
huyo kimeo. Mpenz wa kweli huridhika hata km ukimnunulia piki piki. Umejichanganya mkuu gar ananunuliwa mke tu. Huyo hata ukimuoa atakusumbua sana. Siku ukifuria huyo lzm akukumbie mkuu. Mpenz wa kweli ni yule anayeridhika
 
Hata Prof. J alimnunulia mpenzi wake "Soda" akakataa, akataka "Togwa"

Usijali ni kutokana na asili yake alipotoka tu.
 
Back
Top Bottom