Jamani yamenikuta! Fiance wangu nimemnunulia Vitz mpya hataki anataka nimpe Klugger yangu mi ndo nichukue Vitz.
Ana mapenzi ya dhati kweli huyu?
hivi sisi wanaume tumelogwa? na nani?....gari zako ,,,demu wako....vyote wewe ndo umevitafuta.......maliza shughuli kimya kimya mangi....
Me hata mke wa ndoa siwez mnunulia gari
Ulimkuta bikra au used?!
Jamani yamenikuta! Fiance wangu nimemnunulia Vitz mpya hataki anataka nimpe Klugger yangu mi ndo nichukue Vitz.
Ana mapenzi ya dhati kweli huyu?
mpe tu kwani zote si zako?
Jamani yamenikuta! Fiance wangu nimemnunulia Vitz mpya hataki anataka nimpe Klugger yangu mi ndo nichukue Vitz.
Ana mapenzi ya dhati kweli huyu?
Jamani yamenikuta! Fiance wangu nimemnunulia Vitz mpya hataki anataka nimpe Klugger yangu mi ndo nichukue Vitz.
Ana mapenzi ya dhati kweli huyu?
Hongera. Huyo alikuwa Gold digger...Mrejesho it's official tume break up.
Mwe mapenzi haya sasa vits aliichukuaga au??Mrejesho it's official tume break up.
Nilimuachia klugger kama mwezi hivi baadae nika mconvince akachukua vitz saivi nimemnya'nganya nimeipiga beiMwe mapenzi haya sasa vits aliichukuaga au??