hahahahahaunamwita nani? kamanimesikia vibaya fianceee? aisee fanya hivi hiyo vitz weka hapa tununue halafu piga chini hiyo kimeo.. itakusumbua sana aiseee ....
Duh! Hivyo vigari vyenu bana....[/QUOTE
kaka ngabu kwani huko us unasukuma ndinga gani?si ajabu gari lako unaloendesha huko us tukifananisha na wenzako wa huko ni kama unaendesha unaendesha hivi vigari vyetu na wewe
jamaa nananunulia papuchi asiyoimiliki gari .. kudadekihahahahaha
mpe scania
Jamani yamenikuta! Fiance wangu nimemnunulia Vitz mpya hataki anataka nimpe Klugger yangu mi ndo nichukue Vitz.
Ana mapenzi ya dhati kweli huyu?
kaka ngabu kwani huko us unasukuma ndinga gani?si ajabu gari lako unaloendesha huko us tukifananisha na wenzako wa huko ni kama unaendesha unaendesha hivi vigari vyetu na wewe
Jamani yamenikuta! Fiance wangu nimemnunulia Vitz mpya hataki anataka nimpe Klugger yangu mi ndo nichukue Vitz.
Ana mapenzi ya dhati kweli huyu?
Una uhakika mimi niko huko US?
Kama nadanganya je?
Manake naweza kabisa kuwa Lamadi halafu nabandika vitu humu kama niko US ilhali ukweli wa mambo sipo huko.
Kama unaamini mimi niko US basi pia amini na hili: mimi naendesha 2015 Infinity Q60 Coupe.
Kitu hicho hapo. Nilikitoa kwa dealer kikiwa na mileage 2 tu huku viti vikiwa vimefunikwa manailoni.
![]()