Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
Hili swali inabidi nalo LIPATIWE MAJIBU PIA!
Kwenye haya mambo hakuna majibu ya jumla. Kama kuna mwanamke ambaye mumewe amechiti na kuzaa nje na baada ya kugundua anaamua kuachana na huyo mumewe wala sitamlaumu. Ana haki zote za kufanya hivyo. Ila kama akigundua na kuamua kumsamehe huyo mumewe basi na yenyewe poa tu maana huo ni uamuzi wake.