Mehek
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 7,473
- 10,429
Wanawake wengi siku hizi huwalingishia hadi waume zao. Leo atakwambia hajisikii, kesho nimechoka, kesho kutwa niko kwenye MP nk. Hivi kwa hali hiyo unategemea nini?Simtetei mtoa mada lkn dunia ya Leo wanaume wamejawa na tamaa tu na ndani anaridhishwa sana tu....
AahYaani Sakayo Sijui nikupe zawadi gani..
Mwanaume wa kawaida anabeep kwanza.... Akipata green light ndo anajiongeza.
Basi NakutumiaAah
Mie nakunywaga redbull mkuu
Hatujafundishwa kuomba msamaha direct,ila huwa tunasema "yaliyopita si ndwele tugange yajayo".Jamani nimemfumania mumewangu live tena na rafiki yangu amekua akimtongoza huu mwaka wa pili tukaamua kuweka mchongo leo tukamkamata yani asivyo na haya anajitetea huyu rafik yangu ndie kamtongoza huyu mwanaume najiuliza nifanye nini hata msamaha hawezi kuomba
usipaparike...nitakupa lifti siku tumekutana kule mitaani..Sio tuu ubuyu.... nataka tukio zima na umeahidi ukimaliza bia utaendelea na hilo ni tukio lililokutokea kweli.... halafu mie sijawahi kupewaga lifti na wanaume, sijui naanzaje kuomba lifti.....
Malizia basi mwenzio bado nna kiu bin shauku bin nyege.. ...
Nakukumbusha ulipoishia.... baada ya kufungua zipu yako halafu bakora ikatoka iko wima bin imara.... nini kiliendelea? Mwenzio nyegeee
Tatizo linaanza palepale mwanzo unapokutana na mwanaume, kama mnavamiana na wanaume bila kuchunguzana mtaishia kusema kila mwanaume anaCHEAT, wazungu wana principle ya one year best friendz then mahusiano/ndoa bongo tamaa ya pesa, chura, ubeauty na uhandsome etc mtapigwa tu.Vumilia tu best,wanaume ndivyo walivyo. Usiache ndoa yako bure,maana hata ukimwacha huyo utakaye mpata naye atakucheat.
Asilimia kubwa ya wanaume wa kiafrika kucheat ni asili yao,hata mchunguzane miaka 10! Hilo halina ubishi,ni ukweli mchungu.Tatizo linaanza palepale mwanzo unapokutana na mwanaume, kama mnavamiana na wanaume bila kuchunguzana mtaishia kusema kila mwanaume anaCHEAT, wazungu wana principle ya one year best friendz then mahusiano/ndoa bongo tamaa ya pesa, chura, ubeauty na uhandsome etc mtapigwa tu.
Waafrika wamezoea tabia ya kuowa wake wengi... Imo katika genes...Asilimia kubwa ya wanaume wa kiafrika kucheat ni asili yao,hata mchunguzane miaka 10! Hilo halina ubishi,ni ukweli mchungu.
Duniani kote wanacheat sio Africa tu BUT wasiocheat pia wapo tena wengi ila huwezi kuwaona kama una tamaa.Asilimia kubwa ya wanaume wa kiafrika kucheat ni asili yao,hata mchunguzane miaka 10! Hilo halina ubishi,ni ukweli mchungu.
Hahahah, kweliMuache maana ndicho ulichokua unakitafuta mpaka umeweka tego
Ni kweli,kinachotuvuruga ni hizi dini zinazomtaka mwanaume aoe mke mmoja(kwa wakristo) na wake wanne (kwa waislam). Hii hali inasababisha wanaume kuwa na michepuko, pia wanawake wengi wanakosa wa kuwaoa hivyo ni rahisi kwao kukubali kuchepuka na waume za watu.Waafrika wamezoea tabia ya kuowa wake wengi... Imo katika genes...
Issue sio tamaa,haya mambo ni kumuumba tu Mungu. Kuna watu wanaonekana wema machoni mbele za watu ilihali ni, "Simba mwenda pole.........."Duniani kote wanacheat sio Africa tu BUT wasiocheat pia wapo tena wengi ila huwezi kuwaona kama una tamaa.
Moja kwa moja ni neno la mitaani ila Mubashara ni msamiati wa kiswahili fasaha.Usipende kuchanganya Lugha
Sema Moja kwa Moja na sio "Mubashara"
Ahsante