Nimemfuma anapika chakula akiwa uchi jikoni

Nimemfuma anapika chakula akiwa uchi jikoni

Tatizo nn au kosa liko wapi hakuna sheria ya nchi inayokataza dini yoyote inayopinga hilo km vp cku nyingine ukiona hivo piga picha peleka kwenye kupatana.com amanenee wateja tutatiririka tu kk.

hahaaaaaaaa siyo bure
 
Hapo cha kufanya ni wewe kula hicho chakula uchi pia basiii😀😀😀😀
 
Naombeni ushauri Wa haraka jamani.nimemkuta mke wangu anapika uchi,kama alivyozaliwa.Sijui kwa sababu gani na kwanini afanye hivyo.

Okay, okay, hold up! hold up! This isn't a matter to ask advice for bro. You finding her naked while cooking means she is totally free with you in your home. This should be a turn on to you man.
 
Aisee kuwa makini kuna kukaa uchi kimahaba na kuwa uchi jikoni unapika. Chukua tahadhari. Kile kitu unachokisikia akilini mwako kinakuambia kuhusu hicho kitendo mkeo amefanya ni cha kweli. Wengi tunaangamia kwa kuacha kusikiliza intuition zetu.
 
Naombeni ushauri Wa haraka jamani.nimemkuta mke wangu anapika uchi,kama alivyozaliwa.Sijui kwa sababu gani na kwanini afanye hivyo.

Pedra;
Hofu ya nini? Kama angetoka nje uchi kwako ingekuwaje? Joto la Dar hulisikii? Labda unna lako jambo kumhusu huyu mtoto wa watu, labda umejipatia kamchepuko unataka kuhalalisha talaka. Miye huwa tunakula tukiwa uchi kabisaaa.
 
raha ya kukaa ndani kama mko wawili mr & mrs inabidi muwe uchi wa mnyama, mimi huwa napenda sana, kama hakuna wageni au watoto, napenda niwe uchi wa mnyama niwe nijimwayamwaya na kaubaridi ka EC kuna raha sana.
 
Naombeni ushauri Wa haraka jamani.nimemkuta mke wangu anapika uchi,kama alivyozaliwa.Sijui kwa sababu gani na kwanini afanye hivyo.

Kwani mke wako anatokea ukanda gan..

Kuna baadhi ya makabila kupika wako hivyo ni kawaida kwao
 
Back
Top Bottom