Nimemfuma anapika chakula akiwa uchi jikoni

Nimemfuma anapika chakula akiwa uchi jikoni

Ni sasa hivi tunafamilia sasa Ila enzi zake ilikuwa poa tu.
Mara kwa mara lazima utinge jikoni , mara umshike ta.ko , mara umuinamishe hapo hapo , mara umtekenye kidogo , mara umpetipet kidogo, mara umle mate n.k!
Kijana umri ndiyo huo tumia fursa hiyo kufurahia maisha utakuja kutamani siku zirudi nyuma hayo mambo yatokee tena.
 
KWani hamuaminiani na mkeo??au mna tatizo lolote linaloweza kupelekea kumhisi vibaya??
yawezekana ni mapozi tu binafsi hua najikuta nafanya shughuli za nyumbani nikiwa na kichupi na brauz au tshrt

Kuna tofauti kati ya kuwa uchi na kuwa na chupi au blauz
 
Mganga wangu mwaminifu ninae kuamin kwenye huu ulimwengu wa jf.... mshana jr

Naomba unipe ufafanuzi juu ya hili
 
Last edited by a moderator:
Eti mahaba, mahaba gani ya kukaa uchi au alikuwa anatombana na.wachawi mwambie aache upumbavu au ni mwanamke wako wa pwani
 
KWani hamuaminiani na mkeo??au mna tatizo lolote linaloweza kupelekea kumhisi vibaya??
yawezekana ni mapozi tu binafsi hua najikuta nafanya shughuli za nyumbani nikiwa na kichupi na brauz au tshrt

Rubii kwa hapa sikubaliani nawe mapozi gan ya kipuuzi ayo kama angetokea baba mkwe unafikir nin kingetokea
 
hii ni chai; maana kiuhalisia mwanaume halisi huwezi simulia tupu ya mke wako mbele ya hadhara; una matatizo ya nguvu za kiume ndio maana mkeo yupo free kutembea uchi kwakua huna madhara yoyote
 
Naombeni ushauri Wa haraka jamani.nimemkuta mke wangu anapika uchi,kama alivyozaliwa.Sijui kwa sababu gani na kwanini afanye hivyo.

mkuu we tulia tuu, ila muda wa kula na wee vua nguo zote ubaki kama ulivyo zaliwa.
 
Rubii kwa hapa sikubaliani nawe mapozi gan ya kipuuzi ayo kama angetokea baba mkwe unafikir nin kingetokea

Anakuja bila hodi hadi jikoni? tena bila taarifa yoyote?
Wanaofanya hivyo ni wale wanaoishi wawili tu!
 
hii ni chai; maana kiuhalisia mwanaume halisi huwezi simulia tupu ya mke wako mbele ya hadhara; una matatizo ya nguvu za kiume ndio maana mkeo yupo free kutembea uchi kwakua huna madhara yoyote

Hahaaaa, teh
 
Kweli dada evelyn, mi pia mke wangu kanipikia akiwa kavaa dela tu, huo msosi ulikuwa mtamu balaa
 
Anakuja bila hodi hadi jikoni? tena bila taarifa yoyote?
Wanaofanya hivyo ni wale wanaoishi wawili tu!

Ni kweli rubii ila kwa mazingira yetu ya kiafrikka ni ngumu at a kama mnaishi wawili, mara kaja jirani vitu kama ivyo
 
Back
Top Bottom