Nimemfuma anapika chakula akiwa uchi jikoni

Nimemfuma anapika chakula akiwa uchi jikoni

Mimi nimewah kuishi na mwanamke wa kipemba kwa miaka 7, siji kusahau yale mahaba.
Alikuwa akivaa chupi tu anavyodeki, tukiwa tunakula kuna mkao wake lazima macho yangu yalenge kwenye k yake mana halikuwa havai chupi wakati wa kula na mimi. Tuachen ushamba wanaume

Wewe ulikuwa unaona ni mahaba kumbe ulikuwa unamalizwa bila kujitambua.
 
kusoma hujuwi, ata picha huoni? pengine amechoka kugegedwa kitandani/chumbani tu. anataka umgegede jikoni. badili mazingira ya mgegedo, sometimes jikoni umo umo unamkunja, sometimes bafuni unamchumisha mboga. teh teh teh
 
Wachawi wakubwa zao huwa kupika uchi kama masharti hata kuwanga ni uchi. Mchunguze vizuri huyo mkeo ana lake jambo amekua lady gaga
 
Hata yako inanuka shombo ni vile tu hujainusa. Jaribu kuinusa leo au mwambie mumeo ainuse kama hajaitapikia hapo hapo

Nini kunusa dogo? mpaka kuila anaila tamuu
 
Wachawi wakubwa zao huwa kupika uchi kama masharti hata kuwanga ni uchi. Mchunguze vizuri huyo mkeo ana lake jambo amekua lady gaga
Wewe umenena vyema. Lakini wadads wenzio humu wanadai ni mahaba. Hao unawashauri nini?
 
kama yuko ndani ya geti na yuko pekee yake,pengine aliamua kujiachia tu ipigwe upepo
 
Wewe umenena vyema. Lakini wadads wenzio humu wanadai ni mahaba. Hao unawashauri nini?
Kukaa uchi si mahaba. Mahaba yanaletwa na vingi sio lazima ufanye mambo ya kujiacha wazi ka mwanga ya njia panda. Kwanza unaweza ukawa unafikiri unamtega kumbe una mubore kashazoea kuona upaja ka wa kidume,nwishowe ana hamishia majeshi kwa mchepuko mwenye maadili.
 
Kobe+Bryant+gives+a+puzzled+look+during+NBA+Finals+2010+game+2+vs+the+Celtics.JPG

..........
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    32.4 KB · Views: 651
Kukaa uchi si mahaba. Mahaba yanaletwa na vingi sio lazima ufanye mambo ya kujiacha wazi ka mwanga ya njia panda. Kwanza unaweza ukawa unafikiri unamtega kumbe una mubore kashazoea kuona upaja ka wa kidume,nwishowe ana hamishia majeshi kwa mchepuko mwenye maadili.

Basi Mkuu umefunga mjadala. Kula like. Wengi humu wanaiga mahaba ya kwenye porno. Wanayageuza kama maisha halisi.
 
Kukaa uchi si mahaba. Mahaba yanaletwa na vingi sio lazima ufanye mambo ya kujiacha wazi ka mwanga ya njia panda. Kwanza unaweza ukawa unafikiri unamtega kumbe una mubore kashazoea kuona upaja ka wa kidume,nwishowe ana hamishia majeshi kwa mchepuko mwenye maadili.

Basi Mkuu umefunga mjadala. Kula like. Wengi wanaiga mahaba ya kwenye porno. Wanayageuza kama maisha halisi. Yaani upike uchi halafu unambie mahaba? Aisee mbonavpatachimbika hiyo siku!!?
 
Back
Top Bottom