chakufia nini
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 692
- 456
Naombeni ushauri Wa haraka jamani.nimemkuta mke wangu anapika uchi,kama alivyozaliwa.Sijui kwa sababu gani na kwanini afanye hivyo.
mkuu we nae lofa kweli,sasa unamkuta mtu yuko tayari naomna hiyo halafu unakuja kupiga kelele jf,si unamlamba kamoja ili kumchangamsha ashike mwiko vizuri?we nae umeniboa bana