kwa hiyo??
Ni kweli rubii ila kwa mazingira yetu ya kiafrikka ni ngumu at a kama mnaishi wawili, mara kaja jirani vitu kama ivyo
Wanaume wwnyewe mnapenda.
mimi mpenzi wangu alikuwa anataka muda wote nikiwa ndani niwe uchi wa mnyama nipike uchi nifue uchi kila kitu.
Sasa tofauti ya mazingira isikufanye umuone mwenzako mjinga na hajielewi.
Anayefanya hivyo mazingira yanaruhusu.
I mean huyo wa uchi tupu ni balaaa
Wala atupendi labda wako, kwanza ukiwa uchi uwezi pata mushkeri, lazima mtoto uanze kumnanawa zen unaanza kuchojoa mpaka chupi apo sasa unapiga paipu kiutamu zaid
na wewe ungeingia jikon ukiwa
Asante mkuu.
Kwa mazingira kama hayo muomba chumvi anatokea wapi?
Nackia mtu akipika chakula uchi huwa kinakuwa kitamu balaaa ndiyi mapenz niue au ameona unakula sana kwa mama ntilie anataka akurudishe nyumban ule vizur anakupenda sana vyakula vya amila havikufai
Kawaida tu! sema wewe mambo hayo hujazoea tu
Basi mmetofautiana