Nimelitoa kanisani

Nimelitoa kanisani

Sasa wewe ushasema mlevi alafu unaongelea habari za soda tena!!?Majibu unayo mwenyewe
wa bia lakini, sio wa soda. Hakuna mlevi wa soda anaeweza kwend mwendo sawa na mlevi wa bia... Kubali usikubali, bisha usibishe lakini ukweli utabakia palepale.
 
kwanza swali langu liliuliza kwa nini bia inayolewesha mtu hunywa nyingi wakati hiyo soda kumi unazokunywa wewe huyo huyo mlevi hawezi kuzidisha tatu ingawa haileweshi. Huoni kama ulibaka hoja? Mhh ff!

Wewe hili umelitoa kanisani la kunywa pombe kwa hiyo lirudishe huko, si wote hapa watu wa kanisani, au lipeleke jukwaa la dini likajadiliwe kwa kina.

Nimeshakuambia kufananisha Beer na Soda ni kama kufananisha Embe na Chungwa, upo hapo ulipo?
 
Wewe hili umelitoa kanisani la kunywa pombe kwa hiyo lirudishe huko, si wote hapa watu wa kanisani, au lipeleke jukwaa la dini likajadiliwe kwa kina.Nimeshakuambia kufananisha Beer na Soda ni kama kufananisha Embe na Chungwa, upo hapo ulipo?
kweli mwalimu akiwa na wanafunzi 10 kama wewe darasani anaweza kuomba uhamisho. Na kukufafanulia kote lakini ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu? Khaaa!
 
Kwamba kwa nini mtu mlevi ana uwezo wa kunywa bia zaidi ya tano lakini hawezi kunywa soda zaidi ya tatu? Kuna nini hapa!
Sorry. Sijaona uhusiano uliopo kati ya TITLE na CONTENT ya post yako............ naomba unieleweshe kabla sijachangia.... Huwa sipendi kuchangia kitu nisichokielewa..
 
Sorry. Sijaona uhusiano uliopo kati ya TITLE na CONTENT ya post yako............ naomba unieleweshe kabla sijachangia.... Huwa sipendi kuchangia kitu nisichokielewa..
congratulation sana!! Umefanya maamuzi ya busara!!Ni hivi kanisani wakati Rev akihubiri kuna point alitaja lilinivutia, akauliza wapendwa ambao kabla hawajajiunga na Imani walikuwa walevi, akasema ni wangapi ambao walikuwa na uwezo wa kunywa bia zaidi ya tano? wakanyoosha watu kibao!Haohao akawauliza je, kati yao kuna mtu ambae ana uwezo wa kunywa soda nne? Hakunyoosha hata mmoja!!Swali linakuwa hivi, kama mtu anaweza kunywa bia 500mil na inalewesha kama tano na zaidi, kwa nini ashindwe kunywa soda 350mil isiolewesha hata 3?Hope umenipata.
 
congratulation sana!! Umefanya maamuzi ya busara!!Ni hivi kanisani wakati Rev akihubiri kuna point alitaja lilinivutia, akauliza wapendwa ambao kabla hawajajiunga na Imani walikuwa walevi, akasema ni wangapi ambao walikuwa na uwezo wa kunywa bia zaidi ya tano? wakanyoosha watu kibao!Haohao akawauliza je, kati yao kuna mtu ambae ana uwezo wa kunywa soda nne? Hakunyoosha hata mmoja!!Swali linakuwa hivi, kama mtu anaweza kunywa bia 500mil na inalewesha kama tano na zaidi, kwa nini ashindwe kunywa soda 350mil isiolewesha hata 3?Hope umenipata.
Kiukweli kunywa au kula kitu huwa inategemea mtu anayekula/kunywa anapendelea nini. Kuna vitu kijamii vinaonekana vinaenda sawa kuliko vingine............Kwa mfano tulio wengi tunaamini kuwa mlevi huwa hanywi chai, hali wali, anapenda sana pilipili anakula nyama sana. Inawezekana pia kutokunywa chai kunahusiswa na sukari. Hivyo kwa mtazamo wangu ni kuwa vitu vyenye sukari huwa havipendwi na walevi.
 
Kwamba kwa nini mtu mlevi ana uwezo wa kunywa bia zaidi ya tano lakini hawezi kunywa soda zaidi ya tatu? Kuna nini hapa!

Kwa sababu hilo kanisa ulilotoa hilo swali wanakataza ulevi
 
Kimsingi, kunywa soda zaidi ya moja mfululizo kama bia sio ustaarabu. Lengo la soda ni kuburudisha (refresh), lengo la bia ni ku-stimulate. Huhitaji soda zaidi ya moja kuburudika, wakati unaweza ukatumia zaidi ya bia moja ili kustimulate hisia. Uzuri wa bia unywe zaidi ya moja wakati uzuri wa soda ni kunywa moja. Tena bia zina kawaida ya kuitana, unaagiza moja na yenyewe inaagiza nyingine na nyingine inaagiza nyingine!
 
Back
Top Bottom