Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,764
- 903
Ndipo unaposali?KLPA (Kanisa La Pentekoste Arusha)
Ndipo unaposali?KLPA (Kanisa La Pentekoste Arusha)
Samahan naomba nianze na swali kabla sijaendelea. Huko kanisan ulikolitoa 'swali' ulikuwa unapita tu au ndipo umaposali?Kwamba kwa nini mtu mlevi ana uwezo wa kunywa bia zaidi ya tano lakini hawezi kunywa soda zaidi ya tatu? Kuna nini hapa!
ndio, unataka kuja?Ndipo unaposali?
okey! Kawakusanye ma slow learner wenzio mje, niwaagizie walimu kutoka nje ya nchi. Naona pamoja na maelezo yote bado akili zimeganda.Samahan naomba nianze na swali kabla sijaendelea. Huko kanisan ulikolitoa 'swali' ulikuwa unapita tu au ndipo umaposali?
Kwamba kwa nini mtu mlevi ana uwezo wa kunywa bia zaidi ya tano lakini hawezi kunywa soda zaidi ya tatu? Kuna nini hapa!
Wewe ndio akili yako mgando. Isingekuwa hivyo ungelipata jibu hukohuko kanisani usingetuletea. Kwanza ulishalewa b4 hujaandika thread yako. Ndio maana haieleweki. Hao walimu kutoka nje agiza waje wakufundishe mwenyewe.okey! Kawakusanye ma slow learner wenzio mje, niwaagizie walimu kutoka nje ya nchi. Naona pamoja na maelezo yote bado akili zimeganda.
kwa hiyo kama soda inajaza tumbo wakati wa kunywa bia huwa unaweka mabomba ya kupitisha!1. Hivi bia na soda ipi ina gesi nyingi vile?2. Malengo ya bia ni kulewa hivyo mnywaji ili afurahi lazima anywe nyingi mpaka alewe kidogo au zaidi ....soda kichangamsha mdomo, tumbo likijaa tu unaachana nayo!
naona sasa umejisoma ulivo punguani! Kasome michango ya wenzio utaona hasara za kubaka mada za watu bila kujua mwanzo wala katikati.Wewe ndio akili yako mgando. Isingekuwa hivyo ungelipata jibu hukohuko kanisani usingetuletea. Kwanza ulishalewa b4 hujaandika thread yako. Ndio maana haieleweki. Hao walimu kutoka nje agiza waje wakufundishe mwenyewe.
Inawezekana, sababu mtu anayekunywa bia anaenda toilet mara kwa mara.kwa hiyo kama soda inajaza tumbo wakati wa kunywa bia huwa unaweka mabomba ya kupitisha!
kwa hiyo wa soda haendi?Inawezekana, sababu mtu anayekunywa bia anaenda toilet mara kwa mara.
Anaenda lakn si mara nyingi kama anayekunywa bia. Istoshe soda ina gas so mtu hawez kunywa nyingi kwa wakat mmoja.kwa hiyo wa soda haendi?