Nimelipia nguzo TANESCO muda mrefu mpaka leo hawajarudi kunipa huduma

Tatizo ile posho tuyao waomba kwaajili ya kuwaletea huduma haraka mnaiita rushwa
mimi naitaka hiyo huduma mana nilipiga hesabu zangu had Januari inshaallah tukijaaliwa uzima uwe ushaingia sababu nna jambo langu eneo hilo
 
Ulilipia nguzo ya namna gan coz serikali sahv iko katika mpango wa kubadili nguzo za miti nchi nzima na kuweka za concrete ....
 
Habari za muda huu,

Jamani ninaomba kuuliza, tulifanya process za kuomba umeme tangu mwezi wa saba mwaka huu, na tuliwatumia wakandarasi wa hapo hapo tanesco kutujazia na kutuchorea na kurudisha form tanesco Tanga Mjini.

Sasa siku hiyo hiyo alikuja mtu wa kufanya survey na akapima pima pale na kikubwa kilichotakiwa ni nguzo, tukakaa tukisubiri kuitwa kwenda kulipia nguzo iwekwe umeme uingie, tulisubiri mno kwenye mwez wa tisa nikapigiwa sim kama nilishapimiwa nikajieleza tayar wakanambia niende eneo husika niwaelekeze wao wanakuja, nikafika tukaelekezana wakaja wakapima tena baada ya hapo hicho kimya chake skukielewa ikabidi mimi nifunge safar mpaka hapo ofisini kwao.

Nikaomba kuonana na mtu wa kulitatua tatizo langu nikaonana na mama mmoja hivi hata usoni hakuangalii na jibu akataka tu namba na jina la form nikampa akanijibu ukiona tanesco wamekita nguzo kwenye hilo eneo ndio uje.

Nimesubiri kwa muda mrefu mnooo naomba kufahamishwa tatizo ni nini najua wahusika wapo humu nikimpigia yule mkandarasi majibu ni kama hayo sasa sielewi tangu mwezi wa saba had sasa naona zii.
Tafadhali tujulishe umelipia kwa jina gani? Namba ya simu uliyoandika kwenye form yako na Wilaya uliopo hata Dm Kwa hatua zaidi
 
Habari za muda huu,

Jamani ninaomba kuuliza, tulifanya process za kuomba umeme tangu mwezi wa saba mwaka huu, na tuliwatumia wakandarasi wa hapo hapo tanesco kutujazia na kutuchorea na kurudisha form tanesco Tanga Mjini.

Sasa siku hiyo hiyo alikuja mtu wa kufanya survey na akapima pima pale na kikubwa kilichotakiwa ni nguzo, tukakaa tukisubiri kuitwa kwenda kulipia nguzo iwekwe umeme uingie, tulisubiri mno kwenye mwez wa tisa nikapigiwa sim kama nilishapimiwa nikajieleza tayar wakanambia niende eneo husika niwaelekeze wao wanakuja, nikafika tukaelekezana wakaja wakapima tena baada ya hapo hicho kimya chake skukielewa ikabidi mimi nifunge safar mpaka hapo ofisini kwao.

Nikaomba kuonana na mtu wa kulitatua tatizo langu nikaonana na mama mmoja hivi hata usoni hakuangalii na jibu akataka tu namba na jina la form nikampa akanijibu ukiona tanesco wamekita nguzo kwenye hilo eneo ndio uje.

Nimesubiri kwa muda mrefu mnooo naomba kufahamishwa tatizo ni nini najua wahusika wapo humu nikimpigia yule mkandarasi majibu ni kama hayo sasa sielewi tangu mwezi wa saba had sasa naona zii.
Jiongeze rafiki.. Usipojiongeza hutapata nguzo na utapewa sababu genuine kabisa ambazo hazipingiki hata mahakamani
 
naomba nitoe mrejesho:


kwanza nyinyi mods mnaboa mimi sjaandika nimelipia nguzo mana hata hiyo control namba siijui ina tarakimu ngapi

mnahariri tu bila hata kusoka content

leo asbh wamenipigia tanesco - Tanga, tukaongea na kuniuliza tatizo nikawajibu shida yangu wamenijibu kama nipo ndani ya miundo mbinu nitapigiwa simu nikachukue control namba na nipo ndani ya miundo mbinu hivo nasubiri simu hapa

nashukuru wahusika wamenipigia hiyo at least nimeona kua wameona shida yangu

asanteni nyote.
 
Jiongeze rafiki.. Usipojiongeza hutapata nguzo na utapewa sababu genuine kabisa ambazo hazipingiki hata mahakamani
shida unajua nn sjui namfata nani naangukia kwa nani yan ningelengeshwa huyo mhusika angalau ingekua nasema vingine saa hizi hata huyo mkandarasi niliiunganishwa na mtu ila wamenipigia ngoja tuone mwisho wake
 
Habari za muda huu,

Jamani ninaomba kuuliza, tulifanya process za kuomba umeme tangu mwezi wa saba mwaka huu, na tuliwatumia wakandarasi wa hapo hapo tanesco kutujazia na kutuchorea na kurudisha form tanesco Tanga Mjini.

Sasa siku hiyo hiyo alikuja mtu wa kufanya survey na akapima pima pale na kikubwa kilichotakiwa ni nguzo, tukakaa tukisubiri kuitwa kwenda kulipia nguzo iwekwe umeme uingie, tulisubiri mno kwenye mwez wa tisa nikapigiwa sim kama nilishapimiwa nikajieleza tayar wakanambia niende eneo husika niwaelekeze wao wanakuja, nikafika tukaelekezana wakaja wakapima tena baada ya hapo hicho kimya chake skukielewa ikabidi mimi nifunge safar mpaka hapo ofisini kwao.

Nikaomba kuonana na mtu wa kulitatua tatizo langu nikaonana na mama mmoja hivi hata usoni hakuangalii na jibu akataka tu namba na jina la form nikampa akanijibu ukiona tanesco wamekita nguzo kwenye hilo eneo ndio uje.

Nimesubiri kwa muda mrefu mnooo naomba kufahamishwa tatizo ni nini najua wahusika wapo humu nikimpigia yule mkandarasi majibu ni kama hayo sasa sielewi tangu mwezi wa saba had sasa naona zii.
Hujatoa rushwa
 
Tafadhali tujulishe umelipia kwa jina gani? Namba ya simu uliyoandika kwenye form yako na Wilaya uliopo hata Dm Kwa hatua zaidi
nimewatumia inbox jana pia hamjanijibu mpaka sasa ila wamenipigia sim hii asbh wakaniuliza nimepost jf shida nn nikajieleza
 
Back
Top Bottom