Lalo Salamanca
JF-Expert Member
- Dec 9, 2012
- 1,527
- 1,098
Setting zipi mkuu nami nizuie hii kitu
Nenda kwenye Whatsapp Settings kwa Mtiririko huu
Account >> Privacy >> Groups
Halafu exclude kila mtu, kama nlivofanya mimi.
Setting zipi mkuu nami nizuie hii kitu
Shukran mkuu.Nenda kwenye Whatsapp Settings kwa Mtiririko huu
Account >> Privacy >> Groups
Halafu exclude kila mtu, kama nlivofanya mimi.
View attachment 2081856
Nielekeze ndugu yaani nachukia saaaaaana magroup
Ndio maana nikasema jamaa yuko sawa, kujiacha acha azoeleke ukweni sio sawaUjue shida wanawake mmesahau kuwa nyie ndio mnahamia kwenye familia ya mume kwa taratibu za jamii nyingi!!
Lakini mnataka kuweka kama tumeoana wakati nyie ndio mnaolewa.
Mambo ya upande wenu Mimi nashirikishwa kama Kuna mahali pa kusaidiana
Lakini sipaswi kuhusishwa kwenye mijadala yenu.
Shida ya haya magroup ya kifamilia yana unafiki mwingi sana,wanakuunga huko,ila wakitaka kukuteta wana ka group kao kengine ka kukusema wewe bila ya kujua ,halafu wakija huku kwingine wanajifanya kukuchekea kama vile wako na wewe...Naaomba kuuliza wadau katika kutafakari sababu za familia ya mke wangu kuniunganisha katika group la familia yao sikuona mantiki na hivi leo nimeaamua kuondoka.
Je, nitakuwa nimekosea?
Vip katika hilo grup la livapool upo pamoja na yule livapool VPN anae tuzuia kuoa?Mimi hata group la familia yetu tu huwa sikai maana usnitch huwa sitaki. Mimi group langu ni moja tu la Liverpool FC mambo ya soka tu.
Wakiniweka group sijui la shule najitoa sijui la familia najitoa sitakagi uduanzi mimi. Sasa sembuse la ukweni.
Ushazeeka mkuu tulia zakohuo ndo ubabe wenu wa kiume....
It wasn’t me na uso wa mbuzi.....
Imeisha hiyooo....
Wanaume, zamani nilikuwa napata tabu siku hizi waalaaah...
Huyu usimwamini kamwewewe jamaa kamalizie kule ile story ya evelyn wa chumvi
Hutalala nakwambia.
Nivizur Wana takiwa wasikujue Sanaa mwishoe wataanza kuleta madharauUko sahihi kabisa, me nilimpiga marufuku wife maana na wao walitaka kuanza kuleta hizo issue hata kwenye vikao vyao vya ukoo wakaanza kunialika nikawa siendi naona wakajiongeza. Infact hutakiwa kujenga sana mazoea na ukweni, mwisho wa siku matatizo yao yote utaishia kuyabeba.
Next time fanya settings za wasap mtu hawez kuku add mpaka uruhusu..toka nifanye hiv..nna amaniNaaomba kuuliza wadau katika kutafakari sababu za familia ya mke wangu kuniunganisha katika group la familia yao sikuona mantiki na hivi leo nimeaamua kuondoka.
Je, nitakuwa nimekosea?
Wenzetu mifumo Yao ya maisha nitofauti Sana na Sisi ata kwenye simu zao za mkononi hawana namba za simu nyingii kama uku kwetu simu ina majina mengiiHivi wenzetu dunia ya kwanza wanayo mambo haya?ma group group ya WhatsApp?
Ukiona hivyo Una pendwa walikuunga kwa Nia njema walikuona ni sehem ya familiaSijuwi wanajua walioniunganisha
Haa haa haa kwahiyo kanaundwa kagroup kengine kwa umbeya pembeniShida ya haya magroup ya kifamilia yana unafiki mwingi sana,wanakuunga huko,ila wakitaka kukuteta wana ka group kao kengine ka kukusema wewe bila ya kujua ,halafu wakija huku kwingine wanajifanya kukuchekea kama vile wako na wewe...
Halafu majina mengi na hayana faida, weka status unashida kama utaona hata wakukupa pole ya buku kimyaa kabisa, siku nikiamuaga na delete mizigo yote.Wenzetu mifumo Yao ya maisha nitofauti Sana na Sisi ata kwenye simu zao za mkononi hawana namba za simu nyingii kama uku kwetu simu ina majina mengii
Ushazeeka mkuu tulia zako
Bila shaka umeoa kwa wachaga.Naaomba kuuliza wadau katika kutafakari sababu za familia ya mke wangu kuniunganisha katika group la familia yao sikuona mantiki na hivi leo nimeaamua kuondoka.
Je, nitakuwa nimekosea?
Exactly mkuuUko sahihi kabisa, me nilimpiga marufuku wife maana na wao walitaka kuanza kuleta hizo issue hata kwenye vikao vyao vya ukoo wakaanza kunialika nikawa siendi naona wakajiongeza. Infact hutakiwa kujenga sana mazoea na ukweni, mwisho wa siku matatizo yao yote utaishia kuyabeba.