EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,524
Nshauliza na kujibiwaKumbe ulikuwa hujui, ungeuliza tuu mbona wengi humu wanajua....
Nimetulizwa siku nyingi sana.
Nshauliza na kujibiwaKumbe ulikuwa hujui, ungeuliza tuu mbona wengi humu wanajua....
Nimetulizwa siku nyingi sana.
WambakeKwanza walikuingiza kwenye group la kikeni wanataka kukufanya nini?
Nibora umeleft maana kifuatacho wataanza kukusema mara una kibamia mara humridhishi mtoto waoNaaomba kuuliza wadau katika kutafakari sababu za familia ya mke wangu kuniunganisha katika group la familia yao sikuona mantiki na hivi leo nimeaamua kuondoka.
Je, nitakuwa nimekosea?
Uko sahihi,kuna jamaa yangu mimi hakauki ukweni,kisa kuna vimisosi vidogo vidogo vya hapa na pale,siku moja nikasikia wanasema huyu nae kwa kula,nikajua hapa hakuna kupendwa,sana sana wanakuzoea mwishowe hukawii kusikia baba tunaomba utusaidie katununulie pumba za nguruwe zimeisha...Uko sahihi kabisa, me nilimpiga marufuku wife maana na wao walitaka kuanza kuleta hizo issue hata kwenye vikao vyao vya ukoo wakaanza kunialika nikawa siendi naona wakajiongeza. Infact hutakiwa kujenga sana mazoea na ukweni, mwisho wa siku matatizo yao yote utaishia kuyabeba.
Huyu mwamba Liverpool VPN kwenye hilo group hayupo ila najiulizaga kwanini atuzuie kuoa?Vip katika hilo grup la livapool upo pamoja na yule livapool VPN anae tuzuia kuoa?
Sio dharau tu hata matatizo yao yooote yataishia kwako.Nivizur Wana takiwa wasikujue Sanaa mwishoe wataanza kuleta madharau
Haa haa haa kwahiyo kanaundwa kagroup kengine kwa umbeya pembeni
Kaanzisha vita na mkeweHutalala nakwambia.😂
Nshauliza na kujibiwa
Mi katika vitu huwa sivielewi na haya magroup ya ndugu.Vip katika hilo grup la livapool upo pamoja na yule livapool VPN anae tuzuia kuoa?
Nawakinga na vifo man.Huyu mwamba Liverpool VPN kwenye hilo group hayupo ila najiulizaga kwanini atuzuie kuoa?
Dogo tuacheNawakinga na vifo man.
#YNWA
Hutalala nakwambia.
Njoo kwenye group la Chelsea wewe ..achana na iyo livakukuMimi hata group la familia yetu tu huwa sikai maana usnitch huwa sitaki. Mimi group langu ni moja tu la Liverpool FC mambo ya soka tu.
Wakiniweka group sijui la shule najitoa sijui la familia najitoa sitakagi uduanzi mimi. Sasa sembuse la ukweni.
Mwambie admin aniwekeNjoo kwenye group la Chelsea wewe ..achana na iyo livakuku
na sileft ng'oooooUkileft nakuzawadia talaka rejea afu unakuwa mchepuko wangu tuendelee kupeana raha kidhambidhambi
Tangu arsenal alivyoanza kuweweseka mashabik wake wamehamia liva,city na chelseaTumetokea nayo mbali mkuu sijaanza kushabikia mpira juzi mimi.