Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,622
- 15,951
- Thread starter
- #201
VipiMmmh
VipiMmmh
Nadhani ni maamuzi sahihu kujitoa kama hilo group halina misingi inayoeleweka ya kuanzishwa kwake. Mathalan, likiwa ni kundi la kujadili mambo yanayohusu mambo yao kama familia mtambuka huko kwao, wewe sio sehemu yao, labda uwe umeshajirqsimisha kwao. Hapa naongelea kwa mila zetu za kiafrika. Lln kama ni kundi kwa ajili ya kuangalia welfare ya members wa group, ni vyema ukaendelea kwani kama ni mchango kila mtu atawajibika kama mwanachama na sio kama mkwe.Naaomba kuuliza wadau katika kutafakari sababu za familia ya mke wangu kuniunganisha katika group la familia yao sikuona mantiki na hivi leo nimeaamua kuondoka.
Je, nitakuwa nimekosea?
Hahaha daa nimefanya sawa ila changamoto ni nyingi sana napigwa spana kila kona na ndugu wa mkeUmefanya sawa kabisa mkuu..mwambie aache shobo
nashambuliwa sana na maneno kuwa nina dharau sijali najisikia mara najiona blaa blaa nyingi ila potelea mbali watajua wenyewe.Umefanya sawa kabisa
Umekwepa mtego mmoja muhimu sana .maana hayo magrupu huwa wanaangalia shemeji kakomenti vipi halafu wanajadiliana inbox . Mkeo anatosha kukupa habari zao kuwepo na mipaka.
Niliingizwa kama mwanafamilia yani nishiriki kila kinacholetwa pale kwa group. Mchezo niliousoma familia yao walitaka waniweke kwenye 18 zao .Nadhani ni maamuzi sahihu kujitoa kama hilo group halina misingi inayoeleweka ya kuanzishwa kwake. Mathalan, likiwa ni kundi la kujadili mambo yanayohusu mambo yao kama familia mtambuka huko kwao, wewe sio sehemu yao, labda uwe umeshajirqsimisha kwao. Hapa naongelea kwa mila zetu za kiafrika. Lln kama ni kundi kwa ajili ya kuangalia welfare ya members wa group, ni vyema ukaendelea kwani kama ni mchango kila mtu atawajibika kama mwanachama na sio kama mkwe.
Sioni sababu ya kuwa na group la WhatsApp ambalo huoni content ni kujaza server tuUmefsnya kosa kubwa ssna. Unge arxhieve ukawa hausomi sms zao. Mm nna magroup kalibia 20nimeyahide sababu kuna mda huwa nahitaji kuyatumia
Ngoja nifanye hivyo aiseBlock watu wote kukuunga kwenye magroup.
Mbona easy sana.
Nenda kwenye settings kaweke hio option.
Wakitaka kukuunga wakuombe na wakutumie invite Link
Utanyimwa mbususu na mkeo wao wamekuunga ili kukiwa na hitaji la hela wanajua shemu yuko ataokoa jahazi.Hutalala nakwambia.