akupe ujasiri gani wakati pesa kesha kuwezesha unaweza kumdu chumba chako? na mme wake anahudhuria JF, lazima agundue. nakushauri uchukue chumba chako mkuu
Hee kumbe ni kweli aisey, mzee chunga kumbe record zako watu wanazo, mke wa mtu mhuuuu!!!!!!!!!Ofisi: PPF
Wizara: Fedha
Nchi: Dubai
Perdiem zao kwa kila mchana wakiwa Dubai USD 600 (Tshs 960,000), Wamelipwa USD 600X7days ambazo USD 4200 (Tshs 6,720,000)
Kwa huyo mdada uliye naye, amekustahi ngoja jioni hii anywe pombe ndipo utagundua kuwa hata wanawake huwa wanabaka, na leo lazima ubakwe na huyo mama hatachangia malipo ya hotel bali utalipa zote wewe.
Sipendi kuwataja majina. Mmeondoka jana mmnarudi Jumamosi
Upuuzi mwingine huo, linda maisha yako linda ndoa yako linda utakatifu wako usijichafue!!!!!!Huyo mwanamke usipo mla, atakushangaa na kukudharau sana. Mkirudi nyumbani hapo ofisini kwenu lazima awasimulie kuwa mzee wewe hauko fit! Linda urijali wako kwa kumchapa nao!
umewahi sana kuweka hii post. ungetuwekea siku ya 3 au ya 4 ndio ingenoga. una kiherehere sana cha kupost.
haya urudi after 3 days utueleze mmesave dollar ngapi kwenye hotel kwa kulala kitand kimoja na makumbatiano ya kitakatifu.
kwa kusema kweli sijaona la ajabu. Manuu achana na mawazo ya ovyo, wewe lala siku zitaenda na utarudi kwa mkeo salama kabisa
ila huyu jamaa anaweza kuleta tafrani kwenye ndoa za watu (hata kama ni hadithi ya kutunga tu!). Imagine mwanaume/mwanamke ambaye mkewe/mumewe kaenda semina ya siku tano mahali......halafu anapita hapa jf na kusoma masimulizi haya! Naamini kwa stori hii kuna watu kadhaa wameshapiga simu ku confirm wenza wao wamelala wapi/na nani!?:smile-big::smile-big:
Iambie akili yako umelela na mkeo na yuko kwenye siku zake siku 5 zitaisha.
Mkuu sidhani kama unaipenda ndoa yako
Maana kulla na mwanamke ambaye sio mke wako chumba kimoja tena kitanda kimoja kwa siku tano na utegemee miujiza ni ngumu
Achana na hizo mambo za kusave utasave pesa ila ndoa yako itakuwa imeingia kwenye mkopo
Hiyo haiwezekani. Haina mantiki. There can be no self control wakati mwanamke yupo karibu. Hiyo ni kama ukienda juu mlimani ,wewe na mke wako,ukamkuta ascetic anaishi pale katika pango. Utamwambia,'' We unaishi peke yako huku mlimani bila mwanamke,kama mimi siwezi.''
Kweli anaweza kuishi peke yake almost indefinetly bila mwanamke,lakini huyo mke wako lazima ukae nae karibu. Kwa sababu ukiwaacha wawili muda mfupi,itakuwa balaa.
Ya nini kujipa shida yote hii?
Ona sasa unalala umeifunga kitanzi injini, utajikuta inakusaliti inatenda tafuta majani nje bila ya wewe kuwa na taarifa.
Unachezea kiberiti kituo cha mafuta halafu unaogopa moto? Wanshangaza!